SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA TEKINOLOJIA YA UJENZI
HomeJamii

SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA TEKINOLOJIA YA UJENZI

Mkurugenzi wa Barabara toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi John Ngowi akielezea jambo wakati wa kongamano la pili la maj...

SERIKALI YATENGA SH.BILIONI 11 KUKABILI UTAPIAMLO
WAZIRI DKT. MAHIGA AAGANA NA BALOZI WA CHINA DKT. LU YOUQING
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI MAPAROKO WA WILAYA YA RUANGWA NYUMBANI KWAKE OYSTERBAY


Mkurugenzi wa Barabara toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi John Ngowi akielezea jambo wakati wa kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Kampuni ya EcomResearch ambayo ndio mshauri mwelekezi wa uanzishwaji wa taasisi hiyo Profesa Godwin Mjema na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala toka wizara hiyo Bw. Stephen Mushi.

Mwenyekiti wa Kampuni ya EcomResearch ambayo ndio mshauri mwelekezi wa uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT), Profesa Godwin Mjema akifafanua jambo wakati wa kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Barabara toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi John Ngowi na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala toka wizara hiyo Bw. Stephen Mushi.


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Bi. Segolena Francis akifafanua jambo wakati wa kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) Jijini Dar es Salaam.

Mtaalamu wa Utafiti kutoka Kampuni ya EcomResearch ambayo ndio mshauri mwelekezi wa uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT),akifafanua jambo wakati wa kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Barabara toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi John Ngowi (wanne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa sekta ya ujenzi mara baada ya kufungua kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) Septemba 5 jijini Dar es Salaam.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA TEKINOLOJIA YA UJENZI
SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA TEKINOLOJIA YA UJENZI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibbLqZxXACQFSWh8PrsohJ8ihw6q1db48-pp31FhNZS6q9rtY3yTwTPPHesb3YT2mxaV6Mnm0EyUpTzNbY65F5lNgK86KMCGkKj-TqzCCwbkWN337ncmNlu8PyDWECkSGX_KRgWbcUztjA/s640/PIX1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibbLqZxXACQFSWh8PrsohJ8ihw6q1db48-pp31FhNZS6q9rtY3yTwTPPHesb3YT2mxaV6Mnm0EyUpTzNbY65F5lNgK86KMCGkKj-TqzCCwbkWN337ncmNlu8PyDWECkSGX_KRgWbcUztjA/s72-c/PIX1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/serikali-kuanzisha-taasisi-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/serikali-kuanzisha-taasisi-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy