Mgeni rasmi wa ufunguzi wa Mkutano wa uhamasishaji wa Afya na lishe kwa vijana (hasa kwa wasichana), Mkurugenzi wa Kinga,Wizara y...
Mgeni
rasmi wa ufunguzi wa Mkutano wa uhamasishaji wa Afya na lishe kwa
vijana (hasa kwa wasichana), Mkurugenzi wa Kinga,Wizara ya Afya, Maendeleo
ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto Dkt.Neema Rusibamayila akisoma hotuba
wakati wa mkuitano huo ambao wa siku tatu unaofanyika kwenye ukumbi wa
Kimataifa wa Julius Nyerere.
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) Dkt.Joyce Kaganda akizungumza kwenye mkutano huo.
Baadhi wa washiriki wa mkutano huo wakifuatilia uwasilishaji wa mada.Mkutano huo wa Kimataifa unawashirikisha viongozi wa juu wa serikali, mashirika na taasisi binafsi pamoja na wadau wa maendeleo nchini na nje ya nchi.
Picha ya pamoja ya washiriki wa Mkutano huo ambao unalengo la kutunza afya ya vijana hususani wasichana kwani ni wazazi wa baadae kutoka wanapozaliwa hadi makuzi yao .Nchi zinazoshiriki mkutano huo ni pamoja na Tanzania,Ethiopia,Senegal na Kenya(Picha zote na Rayson Mwaisemba-Wizara ya Afya)
COMMENTS