NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2014 EXAMINATION RESULTS INQUIRIES Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa wa Kidat...

Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa wa Kidato cha
sita aliyefaulu vizuri katika masomo ya tahasusi (Combination), Isaack Shayo
aliyekuwa akisoma shule ya Mt. Yosefu Cathedral akiwa mwenye furaha baada ya
kuona matokeo yake yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa Dar es Salaam leo.
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2014 HAYA HAPA
Jumla ya watahiniwa 38,905
sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6
wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni
26,825

Advertisement

MAIN QUOTE
x cbfgmfg hghg
- Steve Jobs
WEEK TRENDING
Loading...
YEAR POPULAR
Mkuu wa Chuo cha Maafisa wa Jeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Mssao akitoa taarifa ya maofisa wapya kwa Amiri ...
HUYU NDIYE MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI MWANAMA Mikel Ruffinelli mkazi wa Los Angeles, Marekani, amedhihirisha k...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akipokelewa watumishi wa Wizara hiyo mara baada ya kuwasili ofisini ...
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Hakimiliki Tanzania (Cosota) Doreen Sinare akielezea umuhimu wa wanamuziki kujisajili kwa...
COMMENTS