NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2014 EXAMINATION RESULTS INQUIRIES Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa wa Kidat...

Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa wa Kidato cha
sita aliyefaulu vizuri katika masomo ya tahasusi (Combination), Isaack Shayo
aliyekuwa akisoma shule ya Mt. Yosefu Cathedral akiwa mwenye furaha baada ya
kuona matokeo yake yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa Dar es Salaam leo.
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2014 HAYA HAPA
Jumla ya watahiniwa 38,905
sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6
wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni
26,825

Advertisement

MAIN QUOTE
x cbfgmfg hghg
- Steve Jobs
WEEK TRENDING
Loading...
YEAR POPULAR
HUYU NDIYE MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI MWANAMA Mikel Ruffinelli mkazi wa Los Angeles, Marekani, amedhihirisha k...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchini, Mwigulu Nchemba, akitoa heshima za mwisho Dar es Salaam leo mbele ya majeneza yenye miili ya askari nane...
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya Biash...
Safu ya waimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma ikiongozwa na Nguli Shaaban Dede (katikati) wakifanya vitu vya mbele ya mashabiki wao l...
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2014 EXAMINATION RESULTS INQUIRIES Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa wa Kidat...
COMMENTS