CHADEMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS UHURU KENYATTA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA KENYA BAADAE MWAKA HUU 2017
HomeSiasa

CHADEMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS UHURU KENYATTA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA KENYA BAADAE MWAKA HUU 2017

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetangaza rasmi kumuunga mkono mgombea urais wa Kenya kupitia chama tawala cha Jubi...

HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA, RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM
MATUKIO YA PICHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM LEO
RAIS NA MWENYEKITI WA CCM DKT MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetangaza rasmi kumuunga mkono mgombea urais wa Kenya kupitia chama tawala cha Jubilee, Rais wa sasa Uhuru Kenyatta.
Akitangaza uamuzi huo wa chama, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema leo Mei 27, 2018 kuwa Baraza Kuu la chama hicho lililoketi leo mjini Dodoma, lemeamua kwa kauli moja kumuunga mkoro Rais Kenyatta, kutokana na kukuza demokrasia ya vyama vingi nchini humo.
“ Lakini pia Rais Kenyatta ameturidhisha kutokana na sera zake za kiuchumi ambazo zimeifanya Kenya kusonga mbele kiuchumi.” Alisema Mbowe.
Kenya itafanya uchaguzi wake Mkuu mwezi Agosti mwaka huu 2018 ambapo Rais Kenyatta anatetea kiti hicho akichuana na mgombea wa upiznani, Raila Udinga.

 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, akizungumza kwenye kikao hicho




Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: CHADEMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS UHURU KENYATTA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA KENYA BAADAE MWAKA HUU 2017
CHADEMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS UHURU KENYATTA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA KENYA BAADAE MWAKA HUU 2017
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPsoWue9aO0LPJpBquxKr9r_cFLJc0VQ5x1Dzeurox5WkNdPKEGHX3M58cBvZ0iT4QExfMNo0LdlX0H0_3h1pAi1L-0TqgV-0Vu-kFcVfLI7MCRH42ZfGVxTlRSRxuaHN0R3Grdl3LQuw/s640/index.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPsoWue9aO0LPJpBquxKr9r_cFLJc0VQ5x1Dzeurox5WkNdPKEGHX3M58cBvZ0iT4QExfMNo0LdlX0H0_3h1pAi1L-0TqgV-0Vu-kFcVfLI7MCRH42ZfGVxTlRSRxuaHN0R3Grdl3LQuw/s72-c/index.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/05/chadema-yatangaza-kumuunga-mkono-rais.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/chadema-yatangaza-kumuunga-mkono-rais.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy