NAIBU WAZIRI HABARI APOKEA VITABU VYA KUHAMASISHA JAMII HURU ISIYOTUMIA DAWA ZA KULEVYA NA KUHIFADHI MAZINGIRA
HomeJamii

NAIBU WAZIRI HABARI APOKEA VITABU VYA KUHAMASISHA JAMII HURU ISIYOTUMIA DAWA ZA KULEVYA NA KUHIFADHI MAZINGIRA

  Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wa pili kulia) akisalimiana na Bw. Kishor Thakr...

DIWANI KATA YA BUGURUNI MHE. ADAM AWAAGIZA VIONGOZI WA KUWAKAMATA NA KUWACHUKULIA HATUA WANANCHI WASIOFANYA USAFI.
RAIS MAGUFULI ATEUA MWENYEKITI WA BODI TTCL NA AWAAPISHA KAMISHNA JEN ANDENGENYE NA MABALOZI WANNE
BODI YA SHIRIKA LA POSTA YAWAPIGA CHINI VIONGOZI 2 WAANDAMIZI NA KUWASIMAMISHA 2




 Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wa pili kulia) akisalimiana na Bw. Kishor Thakrar kutoka  Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru  isiyotumia Dawa za Kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumpatia vitabu vinavyohamasisha jamii iliyo huru, leo jijini Dar es Salaam. 
 
 Bw. Kishor Thakrar kutoka Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru  isiyotumia Dawa za Kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii (kulia) akizungumza na Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumkabidhi vitabu vinavyotoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya Dawa za  Kulevya pamoja na uharibifu wa mazingira leo jijini Dar es Salaam.
 
 
 Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wapili kulia) akizungumza na ujumbe kutoka Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru isiyotumia Dawa za Kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kuwasilisha vitabu wanavyovitumia kutoa elimu hiyo kwa jamii hasa katika shule za msingi na sekondari leo jijini Dar es Salaam. 
 
 
 Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wapili kulia) akipokea vitabu vinavyotumika kuhamasisha jamii hasa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari kujiepusha na matumizi ya Dawa ya Kulevya pamoja na kuhifadhi mazingira kutoka kwa ujumbe kutoka Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru isiyotumia Dawa ya Kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam. 
 
 
   Bibi. Sarla Thakrar kutoka Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru isiyotumia Dawa ya Kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii (katikati) akimuonyesha Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (kulia) moja ya vitabu vinavyotumika kuwaongoza vijana kuwa huru na kuacha kutumia madawa ya kulevya walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kuwasilisha vitabu hivyo ili viweze kutumiwa na jamii leo jijini Dar es Salaam.
 
 
 Naibu Waziri Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wapili kulia) akiangalia picha za matukio mbalimbali yanayofanywa na Kampuni ya Shree All World Gayarti Pariwar inayohamasisha jamii huru isiyotumia madawa ya kulevya, kutunza na kuhifadhi mazingira pamoja na kuwa na mazoezi ya afya kwa jamii walipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam.
 
 
Picha na: Genofeva Matemu - WHUSM
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU WAZIRI HABARI APOKEA VITABU VYA KUHAMASISHA JAMII HURU ISIYOTUMIA DAWA ZA KULEVYA NA KUHIFADHI MAZINGIRA
NAIBU WAZIRI HABARI APOKEA VITABU VYA KUHAMASISHA JAMII HURU ISIYOTUMIA DAWA ZA KULEVYA NA KUHIFADHI MAZINGIRA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYVsdVfqK5s50S44I1eQAlAQqD0BokSSx4hdNOrwmlPXA2xwYvBapwCm5FnvB24G8jnq0gNGta_G-zi8vYAvA0Hg773Y4qJuJPKs6CT5HM5lVCHo99W_WGoIEUxd-64b_W70On9LFdyKK0/s640/Pix+1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYVsdVfqK5s50S44I1eQAlAQqD0BokSSx4hdNOrwmlPXA2xwYvBapwCm5FnvB24G8jnq0gNGta_G-zi8vYAvA0Hg773Y4qJuJPKs6CT5HM5lVCHo99W_WGoIEUxd-64b_W70On9LFdyKK0/s72-c/Pix+1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/naibu-waziri-habari-apokea-vitabu-vya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/naibu-waziri-habari-apokea-vitabu-vya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy