WAKAMATWA KWA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA LA UMEME TANESCO YENYE THAMANI YA TSH 61,000,000
HomeJamii

WAKAMATWA KWA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA LA UMEME TANESCO YENYE THAMANI YA TSH 61,000,000

Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lucas Mkondya (wa pili kushoto) akiwa na waandishi.       ...

BALOZI WA KUWAIT, JASEM AL-NAJEM AZINDUA VISIMA VINNE KATIKA SHULE NNE ZA MSINGI MANISPAA YA ILALA
MD KAYOMBO: YALIYOPITA SI NDWELE TUGANGE YAJAYO
MKUTANO WA TANO WA BARAZA LA TISA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR WAHITIMISHWA




Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lucas Mkondya (wa pili kushoto) akiwa na waandishi.
 
 
 
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Leila Muhaji akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wizi huo wa vifaa vya umeme vyenye thamani ya milioni 61 na kukamatwa,Kulia ni Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lucas Mkondya.
 
 
Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Lucas Mkondya.(wa pili kushoto) akiwa na waandishi na walinzi wa Tanesco. 
Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lucas Mkondya (wa pili kushoto) akiwa na waandishi. 
 
 
Gari la Tanesco likiwa na shehena ya vifaa vilivyoibwa Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. 
 
 
Gari la Tanesco likiwa na shehena ya vifaa vilivyoibwa Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. 

jioni maeneo ya Salasala Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Polisi wakishirikiana na Kikosi kazi cha kuzuia uharibifu wa miondo mbinu ya Shirika la umeme Tanzania Tanesco lilipata taarifa toka kwa raia mwema kuwa kuna watu wanaohujumu miundo mbinu ya Shirika hilo.

Kikosi hicho kilifika eneo hilo katika nyumba ya Willfred Barutti (45) mkazi wa Makumbusho na kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ambapo walivipata vifaa mbalimbali Line Meterial ambavyo hutumika kwa ajili ya kuunganisha umeme vya Kampuni ya Tanesco.Polisi walikwenda katika nyumba nyingine mali ya Betrice Emmanuel (42) mkazi wa Salasala Mabanda wakafanya upekuzi na kufanikiwa kukamata vifaa vifuatavyo;

Nyaya aina ya Drums'02,roller ya waya aina ya AICC ya umeme wa 50 mm ambazo hutumiwa na tanesco kituo cha Kilimahewa huko Kawe Wilaya ya Kinondoni.

Thamani ya vifaa hivyo vinakadiliwa kuwa Tsh.61,000,000,Watuhumiwa wawili wanashikiliwa kwa mahojiano na Upelelezi utakapokamilika watapelekwa mahakamani kwa hatua za kisheria.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAKAMATWA KWA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA LA UMEME TANESCO YENYE THAMANI YA TSH 61,000,000
WAKAMATWA KWA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA LA UMEME TANESCO YENYE THAMANI YA TSH 61,000,000
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMrg6AqiQP7nR6-zF5lEGPDTJs79d9oElw7-LHjJEgwii-hEF5xTpZ8U-F8rRYN1VKa39f3zNnHGx3szkBo3rJZZUPwlFysnXT9THv1aOjSjRKjhrDiRC3j-NvyqPn_hWpmf29EGJF1M8/s640/YBY_8216.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMrg6AqiQP7nR6-zF5lEGPDTJs79d9oElw7-LHjJEgwii-hEF5xTpZ8U-F8rRYN1VKa39f3zNnHGx3szkBo3rJZZUPwlFysnXT9THv1aOjSjRKjhrDiRC3j-NvyqPn_hWpmf29EGJF1M8/s72-c/YBY_8216.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/10/wakamatwa-kwa-miundombinu-ya-shirika-la.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/10/wakamatwa-kwa-miundombinu-ya-shirika-la.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy