LEO KATIKA BUNGE MJINI DODOMA MEI 25, 2018
HomeJamii

LEO KATIKA BUNGE MJINI DODOMA MEI 25, 2018

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwasalimie wabunge wakati wa utambulisho wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. P...

MAKAMU WA RAIS, SAMIA SILUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MAENEO TENGEFU YA VIWANDA VYA USINDIKAJI VYAKULA
TAARIFA YA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) KWA UMMA TAREHE 4/12/2016, DAR ES SALAAM.
PICHA ZA MATUKIO YA MAHAFALI YA CHUO CHA UONGOZI WA MAHAKAAMA LUSHOTO




Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwasalimie wabunge wakati wa utambulisho wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof Ibrahim Juma (kushoto) wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo Mei 25, 2018.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiongozana na Mhe. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma (kushoto) wakielekea katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. (PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiteta jambo na Mhe. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma (kushoto) alipomtembelea leo ndani ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. Wengine ni wageni Mbali mbali waliokuja kushuhudia jinsi Bunge linavyofanya kazi yake.




Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akipunga mikono pamoja na Mhe. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma (kushoto) baada ya kutambulishwa leo ndani ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiteta jambo na Mhe. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma (kushoto) alipomtembelea leo ndani ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma (kushoto) alipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.



Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Azzan Mussa Zungu akiongoza kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Dkt Mary Mwanjelwa akieleza mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa zao la korosho linaendea kuwanufaisha wakulima Bungeni Jijini Dodoma.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma.


Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula akitolea ufafanuzi tofauti iliyopo kati ya shule za Serikali na Binafsi na kusisitiza kwamba mitaala ya kimataifa imeruhusiwa ili kukidhi mahitaji ya raia wa kigeni wanaoishi nchini.


Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza jambo na Mbunge wa Bunda Mjini, Mhe. Esther Bulaya wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma.


Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jacqueline Ngonyani akiomba ufafanuzi kwa Serikali kuhusu ulipaji wa Mawakala wa pembejeo wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo Mei 25, 2018. (PICHA ZOTE NA DAUDI MANONGI, MAELEZO)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: LEO KATIKA BUNGE MJINI DODOMA MEI 25, 2018
LEO KATIKA BUNGE MJINI DODOMA MEI 25, 2018
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYVBWesPP21dgSEkjzb3GlF2OzuwFSUcPFcnBME4j8fndm5do6MwxIJ4kPfyrUdklytva3mQvi4O7UN2hepY7ftsw_fjP5gVtLhhdv0Difv27vayf0FXyfqHXdKBwan_FnaFpHBY4Eofc/s640/Pix+7+Spika+na+jaji.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYVBWesPP21dgSEkjzb3GlF2OzuwFSUcPFcnBME4j8fndm5do6MwxIJ4kPfyrUdklytva3mQvi4O7UN2hepY7ftsw_fjP5gVtLhhdv0Difv27vayf0FXyfqHXdKBwan_FnaFpHBY4Eofc/s72-c/Pix+7+Spika+na+jaji.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/05/leo-katika-bunge-mjini-dodoma-mei-25.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/05/leo-katika-bunge-mjini-dodoma-mei-25.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy