WATANZANIA WAISHIO SAUDI ARABIA WASHEREKEA SIKUKUU YA MAPINDUZI NA BALOZI MGAZA
HomeJamii

WATANZANIA WAISHIO SAUDI ARABIA WASHEREKEA SIKUKUU YA MAPINDUZI NA BALOZI MGAZA

Baadhi ya Watanzania wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mgaza katikati mwenye suti. Watanzania wanaoishi Saudi Arabia washerehekea Si...

MKURANGA, KIBITI, IKWIRIRI, ZAANZA KUPATA UMEME WA GRIDI
TBA YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI WA JENGO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA WAKATI
FACTS THE ECONOMIST GOT THEM WRONG ON MAGUFULI



Baadhi ya Watanzania wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mgaza katikati mwenye suti.

Watanzania wanaoishi Saudi Arabia washerehekea Sikukuu ya Mapinduzi Riyadh Palace Hotel na Balozi Mgaza

Na mwandishi maalum, Riyadh - Saudi Arabia
Wanadiaspora na Watanzania waishio Riyadh nchini Saudi Arabia walisherehekea na kuandhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar siku ya ijumaa tarehe 12 Januari, 2018 katika ukumbi wa Riyadh Palace Hotel.


Sherehe hizo zilindaliwa na jumuiya ya Watanzania 'Tanzania Walfare Society' ambapo waalikwa mbalimbali kutoka miji ya Riyadh, Qasim na maeneo ya karibu walihudhuria. Mgeni rasmi katika sherehe hiyo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Mhe.


Hemedi Mgaza. Miongoni mwa walihudhuria sherehe hizo pia walikuwa wanafunzi wa vyuo vikuu, wafanyakazi wapya wa kampuni ya ufugaji ng'ombe wa Maziwa ya Al Marai na wengine kutoka kampuni ya ufugaji kuku ya Al Watania. Kwa picha na habari zaidi angalia kupitia you tube 'Prince eddycool'

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania ya Riyadh, Bw. Fuad Mabruk akitoa hotuba mbele ya Watanzania na wanadiaspora wa mji wa Riyadh huku nyuma yake walioketi kwenye meza kuu kuanzia kulia ni Makamu wa Mwenyekiti wa Jumuiya Dkt. Mahmoud Tuli, Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Hemedi Mgaza, Afisa Mkuu wa Utawala wa Ubalozi Bw. Ahmada Sufiani, Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Bw. Saeed Al Jabry na wa kwanza kushoto ni Mweka Hazina wa Jumuiya Bw. Mohamed Saeed.


Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, H.E Hemed Mgaza, akizungumza na Watanzania.

Baadhi ya Watanzania na wanadiaspora wakisikiliza hotuba zilizokuwa zikitolewa na baadaye walipata fursa ya kuuliza maswali na kutoa maoni.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WATANZANIA WAISHIO SAUDI ARABIA WASHEREKEA SIKUKUU YA MAPINDUZI NA BALOZI MGAZA
WATANZANIA WAISHIO SAUDI ARABIA WASHEREKEA SIKUKUU YA MAPINDUZI NA BALOZI MGAZA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjn4R1I5G2M64zvEjz6J6CDyOgBBKSGBJeBKVJ74k9rNiTExHlm7Al8Xklqmr_KTYi8XmhvvVI3oIfgd-b5hkqdcjnCNn9k1QiCTO7cTfoxIO4pzI2DF3Qyv13dL4hDavlHVtUBh6zbvgA/s640/SAMSUNG+MINI+062.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjn4R1I5G2M64zvEjz6J6CDyOgBBKSGBJeBKVJ74k9rNiTExHlm7Al8Xklqmr_KTYi8XmhvvVI3oIfgd-b5hkqdcjnCNn9k1QiCTO7cTfoxIO4pzI2DF3Qyv13dL4hDavlHVtUBh6zbvgA/s72-c/SAMSUNG+MINI+062.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/watanzania-waishio-saudi-arabia.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/watanzania-waishio-saudi-arabia.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy