SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA MHE. SPIKA KWA WAZIRI WA ULINZI NA MKUU WA MAJESHI
HomeJamii

SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA MHE. SPIKA KWA WAZIRI WA ULINZI NA MKUU WA MAJESHI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA Simu: +255 022 2112065-7 Fax No. +255 022 2112538 E-mail:   info@bunge.go.tz...

MKUU WA MKOA WA PWANI MHANDISI NDIKIRI AISHUKURU TANESCO KWA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI
MICHAEL KESSY NA FRANSISCA WAMBURA WANG'ARA WALIPOUAGA UKAPERA JIJINI MWANZA
TIGO YASHEREHEKEA SIKU YA TEHAMA KWA MTOTO WA KIKE AFRIKA KWA KUTOA MSAADA WA KOMPYUTA 10 SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA JANGWANI


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BUNGE LA TANZANIA


Simu: +255 022 2112065-7
Fax No. +255 022 2112538

E-mail:  info@bunge.go.tz


                    Ofisi ya Bunge,
               S.L.P. 941,

              DODOMA


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai amewatumia salamu za Rambirambi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen.  Venance  Mabeyo kufuatia kuuawa kwa Askari 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopo katika operesheni ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC).
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa hizi za kuuawa kwa Askari wetu waliokuwa wanalinda amani huko DRC, hakika hili ni pigo kwa Taifa zima, naungana na Watanzania wenzangu kuwapa pole kwa msiba huu mzito, ninamuomba Mwenyezi Mungu azilaze roho za wapendwa wetu mahala pema peponi,” Alisema Mhe. Ndugai.

“Natoa pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki waliopoteza wapendwa wao, Mwenyezi Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi,” aliongeza Mheshimiwa Ndugai.

Vilevile, Mheshimiwa Spika pia amewaombea Askari 44 waliojeruhiwa wapone haraka ili waweze kurejea katika majukumu yao na pia Askari 2 waliopotea waweze kupatikana wakiwa salama.

Imetolewa na: Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P  941,
DODOMA
                            

                               09 Desemba, 2017.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA MHE. SPIKA KWA WAZIRI WA ULINZI NA MKUU WA MAJESHI
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA MHE. SPIKA KWA WAZIRI WA ULINZI NA MKUU WA MAJESHI
https://lh5.googleusercontent.com/Qj0psNKjfF_Td7ODHMVHXzKERY0OyvnCjgmf3mSvPwT1JWxboel63Dw8VJW1MvDf13U0EbxRvZm-MsaXfB4mGwrlfRayAQIwsB8CZQ6fXWSQsipM56JJSLEgUGkm_Vsm8muxzhFiOmaB5Qlnfg
https://lh5.googleusercontent.com/Qj0psNKjfF_Td7ODHMVHXzKERY0OyvnCjgmf3mSvPwT1JWxboel63Dw8VJW1MvDf13U0EbxRvZm-MsaXfB4mGwrlfRayAQIwsB8CZQ6fXWSQsipM56JJSLEgUGkm_Vsm8muxzhFiOmaB5Qlnfg=s72-c
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/12/salamu-za-rambirambi-za-mhe-spika-kwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/salamu-za-rambirambi-za-mhe-spika-kwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy