TANESCO YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI KUHUSU KUBOMOA JENGO LA MAKAO MAKUU
HomeJamii

TANESCO YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI KUHUSU KUBOMOA JENGO LA MAKAO MAKUU

Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unawafahamisha Wateja wake wote na Wananchi kwa ujumla kuwa; TANESCO imeanza ut...

WAZIRI SIMBACHAWENE ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA
MHANDISI LWENGE: HAKUNA MUDA UTAKAO ONGEZWA MSIPOKAMILISHA MRADI KWA WAKATI
RAIS DKT MAGUFULI AMWANDALIA RAIS MUSEVENI WA UGANDA DHIFA YA KITAIFA JIJINI TANGA




Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unawafahamisha Wateja wake wote na Wananchi kwa ujumla kuwa;
TANESCO imeanza utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kuhusu kubomolewa kwa Jengo la Ofisi za TANESCO Makao Makuu, liliopo Ubungo Jijini Dar es salam.
Kuanzia Jumatatu Novemba 27, 2017. Ukuta wa mbele ya jengo umesha vunjwa , pia baadhi ya Watumishi wa Shirika wameanza kuhamishiwa katika Ofisi nyingine za TANESCO zilizopo jijini Dar es salaam ili kupisha shughuli za ubomoaji kufanyika kwa usalama zaidi.
Uongozi wa Shirika pamoja na Wakala wa Majengo (TBA) wanaendelea kufanya taratibu zitakazo wezesha zoezi la ubomoaji wa Jengo kufanyika bila kuathiri huduma kwa Wateja wa Shirika.
Katika kipindi hiki cha utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais. Tunapenda kuwahakikishia Wateja wetu na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Huduma za Umeme zitaendelea kupatikana kama kawaida ikiwemo huduma ya manunuzi ya LUKU.
Uongozi wa Shirika utaendelea kutoa taarifa kwa kadri zoezi hili linavyo endelea,
TANESCO ‘‘Tunayaangaza Maisha yako’’
Kwa mawasiliano
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetu
www.twitter.com/tanescoyetu
Imetolewa Na: OFISI YA UHUSIANO
TANESCO- MAKAO MAKUU.
Novemba 27, 2017
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TANESCO YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI KUHUSU KUBOMOA JENGO LA MAKAO MAKUU
TANESCO YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI KUHUSU KUBOMOA JENGO LA MAKAO MAKUU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWjhBdPVYpnc-nabLgh495wlkwXEvonsov9GzrhDypuAA-o4-WxaBiB73KpA-phrRzKu0SktjmTc3BfsPoAJuZ_0NFvvP_0nNg-sN3ndKwk4krbqxQ-lSZInQxJ1YFGjqKIjmilvTiZ_Bg/s640/JENGO.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWjhBdPVYpnc-nabLgh495wlkwXEvonsov9GzrhDypuAA-o4-WxaBiB73KpA-phrRzKu0SktjmTc3BfsPoAJuZ_0NFvvP_0nNg-sN3ndKwk4krbqxQ-lSZInQxJ1YFGjqKIjmilvTiZ_Bg/s72-c/JENGO.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/tanesco-yaanza-kutekeleza-agizo-la-rais.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/tanesco-yaanza-kutekeleza-agizo-la-rais.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy