“TAHLISO YAIOMBA HESLB KUHARAKISHA FEDHA ZA WANAFUNZI VYUONI”
HomeJamii

“TAHLISO YAIOMBA HESLB KUHARAKISHA FEDHA ZA WANAFUNZI VYUONI”

JUMUIYA wa Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (Tahliso) wameiangukia bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya Juu (HESLB) kuha...

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AHIMIZA ELIMU KWA WATOTO WA KIKE KASKAZINI UNGUJA
SABODO AMSHAURI RAIS MAGUFULI ABADILISHE FEDHA
KIDOKEZO CHA MAKALA: MAISHA YA WATU NA RASILIMALI WALIZOPEWA NA MWENYEZI MUNGU


“TAHLISO YAIOMBA HESLB KUHARAKISHA FEDHA ZA WANAFUNZI VYUONI”



JUMUIYA wa Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (Tahliso)
wameiangukia
bodi ya mikopo ya
wanafunzi wa elimu ya Juu (HESLB) kuharakisha fedha
za wanafunzi waliofeli baadhi ya masomo
kwa kupata alama D waliopo

vyuoni(supplementary).




Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,Stanslaus
Kadugalize
wakati akizungumza
na mtandao huu ambapo alisema idadi ya wanafunzi
waliofeli baadhi ya masomo vyuoni ni kubwa
na mpaka sasa hawajapata
fedha
za kujikimu .




Alisema fedha hizo ni kama kauli ya Naibu Waziri wa Elimu
alivyosema
kuwa ifikapo ijumaa
wiki iliyopitia fedha ziwe zimefika vyuoni lakini
mpaka sasa fedha hizo hazijafika jambo
ambalo linawapa wakati mgumu

wanafunzi hao.




Mwenyekiti huyo alivitaka vyuo visiweke sababu zisizo za msingi juu
ya
kuwapa wanafunzi fedha zao
za kujikimu kwa wale ambao tayari fedha
zimekwisha fikishwa vyuoni kwa kigezo cha
kujisajili.




“Tunatambua umuhimu wa kujisajili ila vyuo vitambue pia kwamba
wapo
wanafunzi wengi
wanategemea fedha hizo hizo za bodi ya mikopo (HESLB)
ili kulipia gharama za kujisajili kuweza
kukamilisha zoezi la

kujisajili hivyo vyuo viache kuweka sababu zinazopelekea usumbufu
kwa
wanafunzi
“Alisema.




Kuhusu zoezi la utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa
kwanza
alisema sasa bodi ya
hiyo imekwisha kutoa kwa wanafunzi 29,000 kwa
wale wote ambao wanasifa na hawajapata
katika upangaji wa awali

aliwashauri kutumia dirisha la rufani linalofunguliwa Novemba 13
mwaka
huu ambapo rufaa hizo
itakuwa ni bure.




Hata hivyo Mwenyekiti huyo hakisita kuzungumzia kuhusu zoezi
la
udahili ambapo ambapo
aliitaka TCU kuingilia kati kwani bado kuna
usumbufu mkubwa wa wanafunzi wanaoupata na
una hatarisha baadhi yao

kukosa nafasi ya kusoma.




Alisema vipo vyuo vimefahili wanafunzi zaidi ya idadi
wanayotakiwa
mfano chuo cha
Mwenge na vyenginevyo jambo la ajabu wanapokwenda
kuripoti vyuoni wanaambiwa wamekwisha
kamilisha idadi walizopangiwa.




“Sasa tunajiuliza kwanini walikubali idadi kubwa ya
wanafunzi


wathibitishe kwenye vyuo vyao? kwanini wasiweke ukomo wa
idadi
kulingana na
wanayotakiwa  lakini pia mpaka sasa wapo
wanasumbuliwa
vyuoni
hawajapokelewa na wametoka makwao “Alisema.




“Mfano yupo mwanafunzi ametoka kwao Arusha amekwenda Mwanza
kuripoti
chuo kalipa na ada
kabisa ya chuo sikitaji  na alithibitisha kusoma
hapo ajabu amekwenda kuripoti wana mwambia
wameshajaza idadi hivyo
subiri
maamuzi ya TCU kama wataruhusu kuwapokea “Alisema.




Aliongeza kuwa vyuo visipelekee vurugu zisizo na maana yoyote
ile
endapo wanafunzi hao
watakosa nafasi za masomo kwa mwaka huu kwa
uzembe wa vyuo kudahili zaidi ya idadi yao
kwa hofu ya kukosa
wanafunzi
.




“Lakini niwaambie sisi kama Tahliso hatutasita kuvichukulia hatua
vyuo
hivyo kwa kuwalipa fidia
ya usumbufu wanafunzi  ambao wamekumbana nao
wakati wa kufuatilia michakato hiyo
“Alisema.
(Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: “TAHLISO YAIOMBA HESLB KUHARAKISHA FEDHA ZA WANAFUNZI VYUONI”
“TAHLISO YAIOMBA HESLB KUHARAKISHA FEDHA ZA WANAFUNZI VYUONI”
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh23ovuWxlQR4NdZKkjlIwhfwVyVoRO7UKF24Qz-VQdRIMl8J-72BaOFU8uWIxfxembMlYTnVyU0lqK0SjEWIOJDNkji9KeTnlrr2jeNHJtmxP5PQmfe3ao8MGn5PJfcJ-oXA9ZpgymCGbr/s640/IMG-20171108-WA0055.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh23ovuWxlQR4NdZKkjlIwhfwVyVoRO7UKF24Qz-VQdRIMl8J-72BaOFU8uWIxfxembMlYTnVyU0lqK0SjEWIOJDNkji9KeTnlrr2jeNHJtmxP5PQmfe3ao8MGn5PJfcJ-oXA9ZpgymCGbr/s72-c/IMG-20171108-WA0055.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/tahliso-yaiomba-heslb-kuharakisha-fedha.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/tahliso-yaiomba-heslb-kuharakisha-fedha.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy