SPIKA NDUGAI APOKEA TAARIFA YA MKUTANO WA BUNGE LA AFRIKA ULIOFANYIKA KUANZIA OKTOBA 6 MPAKA 20, 2017 NCHINI AFRIKA YA KUSINI
HomeJamii

SPIKA NDUGAI APOKEA TAARIFA YA MKUTANO WA BUNGE LA AFRIKA ULIOFANYIKA KUANZIA OKTOBA 6 MPAKA 20, 2017 NCHINI AFRIKA YA KUSINI

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mjumbe wa Bunge la Afrika anaewakilisha Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Stephen ...

KAMPUNI YA GEOPOLL YAKUTANA NA NBS KUJADILI TAKWIMU ZA WASIKILIZAJI WA REDIO NA WATAZAMAJI WA TELEVISHENI ZINAZOTOLEWA NA KAMPUNI HIYO NCHINI
RAIS MHE.DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA NCHI TATU
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA 49 LA AFYA NA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA MADAKTARI



Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mjumbe wa Bunge la Afrika anaewakilisha Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Stephen Masele (katikati) katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma. wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Afrika wanaowakilisha Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Asha Juma, wa pili kulia ni Mjumbe Mhe. David Silinde na kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu.


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Afrika wanaowakilisha Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Asha Juma (kulia) katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Afrika wanaowakilisha Bunge la Tanzania katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma. wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Tanzania, Mhe. Asha Juma, wa pili kulia ni Mjumbe Mhe. Stephen Masele na kulia ni Mjumbe Mhe. David Silinde.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (wa pili kushoto) akipokea taarifa ya Mkutano wa Bunge la Afrika uliofanyika kuanzia tarehe 6 mpaka 20 Oktoba, 2017 nchini Afrika ya kusini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wabunge wa Bunge la Afrika wanaowakilisha Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Asha Juma (wa pili kulia) katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma. kushoto ni Mjumbe, Mhe. Stephen Masele na kulia ni Mjumbe, Mhe. David Silinde.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SPIKA NDUGAI APOKEA TAARIFA YA MKUTANO WA BUNGE LA AFRIKA ULIOFANYIKA KUANZIA OKTOBA 6 MPAKA 20, 2017 NCHINI AFRIKA YA KUSINI
SPIKA NDUGAI APOKEA TAARIFA YA MKUTANO WA BUNGE LA AFRIKA ULIOFANYIKA KUANZIA OKTOBA 6 MPAKA 20, 2017 NCHINI AFRIKA YA KUSINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgugimgWxjsM6fMsmgHX_L7p_X527p650Wa4S-R6M_glP369Pz4yxuRbvCYTRCqPUUDkgdQVdFqi0wsETtZ2cXxmL3uVNtfP3jHwwqD852xXsF_1xIinw2siixXSXVcCa-OF-Pz_00DJyWw/s640/IMGL3223.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgugimgWxjsM6fMsmgHX_L7p_X527p650Wa4S-R6M_glP369Pz4yxuRbvCYTRCqPUUDkgdQVdFqi0wsETtZ2cXxmL3uVNtfP3jHwwqD852xXsF_1xIinw2siixXSXVcCa-OF-Pz_00DJyWw/s72-c/IMGL3223.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/spika-ndugai-apokea-taarifa-ya-mkutano.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/spika-ndugai-apokea-taarifa-ya-mkutano.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy