SERIKALI KUENDELEA KUELIMISHA JAMII NA WADAU KUHUSU URIDHIAJI WA MIKATABA
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde
HomeJamii

SERIKALI KUENDELEA KUELIMISHA JAMII NA WADAU KUHUSU URIDHIAJI WA MIKATABA

Na Daudi Manongi, MAELEZO, DODOMA. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu  imesema kuwa itaendelea kuelimisha jamii na wadau mbalimba...

TANZANIA KUUNGANA NCHI WANACHAMA WA UMOJA WA MATAIFA KUADHIMISHA SIKU YA MARALIA DUNIANI 2018
SPIKA EALA AIPONGEZA TANZANIA KWA MAENDELEO
RAIS MAGUFULI ATAKA MATOKEO YA UTAFITI WA UVUVI YATUMIKE.

Na Daudi Manongi, MAELEZO, DODOMA.

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu  imesema kuwa itaendelea kuelimisha jamii na wadau mbalimbali kuhusu mifumo,maudhui na taratibu za uridhiaji wa mikataba ili kufanya maandalizi stahiki kabla ya uridhiaji wa mikataba hiyo.

Hayo yamesemwa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde wakati akijibu Swali la Mhe.Ussi Pondeza Mbunge wa Chambani.
“Nchi yetu inazo sheria mbalimbali zinazotambua na kusimamia maslahi ya wafanyakazi nchini wakiwemo wafanyakazi wa majumbani,wafanyakazi wa mahotelini na vyama vyao”,Aliongeza Mhe. Mavunde.


Aidha Waziri Mavunde amewataka wafanyakazi nchini kutambua juhudi za Serikali za kulinda na kutetea haki na maslahi  ya wafanyakazi kupitia sheria,kanuni na taratibu zilizopo nchini.

Amesema Serikali inaendelea kupitia kwa makini azimio lililofikiwa na Shirika la kazi la Umoja wa Mataifa mwaka 2011 linaotaka kila nchi mwanachama wa ILO kuwa na Sheria ya kuwalinda wafanyakazi wa Mahotelini na Majumbani.

“Ni kweli kuwa Mwaka 2011, Nchi wanachama wa Shirika la Kazi Duniani ikiwemo Tanzania zilipitisha mkataba wa kimataifa kuhusu kazi za Staha kwa wafanyakazi wa Majumbani,ambapo hadi sasa nchi zilizoridhia ni 23 kati ya nchi 189 na kwa upande wa Afrika zimelizia nchi mbili tu kwa iyo bado tunaendelea kuupitia ili kufanya maandalizi ya kuridhia”,Aliongeza Mhe.Mavunde.

Pamoja na hayo Waziri Mavunde amesisitiza kuwa Tanzania Bara ina sheria zake za kazi ambazo zinawahusu wafanyakazi wote  ikiwemo wafanyakazi wa mahotelini na majumbani ambazo zinalinda haki zao.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI KUENDELEA KUELIMISHA JAMII NA WADAU KUHUSU URIDHIAJI WA MIKATABA
SERIKALI KUENDELEA KUELIMISHA JAMII NA WADAU KUHUSU URIDHIAJI WA MIKATABA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinypCoQf7-MmjnjxIv8JKaJnO9cQAWMk15RL7AzKSuytrZ4cDDOK0TrHMFMgqFmMUOHmv7ETDK6QAoWmRqARF1ZEQXzfAFak43Spn74dOrdxUBu5c2tY58c4VccY_2Bodiul7_1FoP5SY/s640/Mhe.+Mavunde%25282%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinypCoQf7-MmjnjxIv8JKaJnO9cQAWMk15RL7AzKSuytrZ4cDDOK0TrHMFMgqFmMUOHmv7ETDK6QAoWmRqARF1ZEQXzfAFak43Spn74dOrdxUBu5c2tY58c4VccY_2Bodiul7_1FoP5SY/s72-c/Mhe.+Mavunde%25282%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/06/serikali-kuendelea-kuelimisha-jamii-na.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/serikali-kuendelea-kuelimisha-jamii-na.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy