ZITTO KABWE AACHILIWA KWA DHAMANA YA POLISI NI MASAA KADHAA BAADA YA KUKAMATWA
HomeSiasa

ZITTO KABWE AACHILIWA KWA DHAMANA YA POLISI NI MASAA KADHAA BAADA YA KUKAMATWA

KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe, ameachiliwa kwa dhamana baa...

HAYA NDIYO MAJIBU YA NEC KUHUSU SAKATA LA NYALANDU
NEC YATOA DARASA KWA WAGOMBEA NA WAPIGAKURA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI
UCHAGUZI WA MDOGO WA MADIWANI KUGHARIMU BILIONI 2.5=TUME


KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe, ameachiliwa kwa dhamana baada ya kukamatwa na polisi mapema asubuhi Oktoba 31, 2017 akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupewa dhamana ya polisi, Mhe. Zitto aliwaambia waandishi wa habari kuwa kukamatwa kwake kumehusishwa na matamshi yake ya hivi karibuni kuhusu takwimu za uchumi wa nchi, wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya Kijichi jijini Dar es Salaam.
"Lakini pia nimehojiwa kuhusiana na makosa ya kimtandao (Cyber crime) kwa hivyo tunasubiri kama watapeleka kesi mahakamani tukayazungumze huko, lakini tulitarajia kukamatwa kwangu maana Rais alisema nikamatwe na ingekuwa ajabu kama nisingekamatwa." Alisema Zitto.
Moi jana tu Oktoba 30, 2017, Serikali kupitia maafusa wa Benki Kuu ya Tanzania, na Ofisi ya Taifa ya Takwimu, walikosoa vikali takwimu za Mhe. Zitto ambazo kiujumla zinaeleza kuporomoka kwa uchumi ambapoaliuita uchumi wa nchi umesinyaa.
Hata hivyo maafisa hao wa serikali waliwaambia waandishi wa habari kuwa takwimu hizo ni potofu na kwamba uchumi wa nchi unafanya vizuri.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: ZITTO KABWE AACHILIWA KWA DHAMANA YA POLISI NI MASAA KADHAA BAADA YA KUKAMATWA
ZITTO KABWE AACHILIWA KWA DHAMANA YA POLISI NI MASAA KADHAA BAADA YA KUKAMATWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifvCILJ6z9Bwwj_iOhOGAjk77rtqVuCGdWBCmwWw9b-tZsTHFs76jsrHeDfkl_iCAC3SEyD7Gi4fq_noGK3KtWrlNjKTG-Lqsniy6Ft-wSLeyZS5lgSE0Ao6v6d79oIOuAiPCVFGqUMF_o/s640/_98551076_zittokaachiliwa.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifvCILJ6z9Bwwj_iOhOGAjk77rtqVuCGdWBCmwWw9b-tZsTHFs76jsrHeDfkl_iCAC3SEyD7Gi4fq_noGK3KtWrlNjKTG-Lqsniy6Ft-wSLeyZS5lgSE0Ao6v6d79oIOuAiPCVFGqUMF_o/s72-c/_98551076_zittokaachiliwa.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/zitto-kabwe-aachiliwa-kwa-dhamana-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/zitto-kabwe-aachiliwa-kwa-dhamana-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy