Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Luteni Jenerali Venance Salvatory Mabeyo ku...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Luteni Jenerali Venance Salvatory
Mabeyo kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 30, 2016
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Dkt. Mahadhi
Juma Maalim kuwa Balozi wa Tanzania Ikulu jijini Dar es Salaam leo January 30,
2016
|
Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Mstaafu Luteni Jenerali (Rtd)
Samuel Albert Ndomba (kulia) na Luteni Jenerali Venance Salvatory
Mabeyo Mnadhimu Mkuu wa JWTZ katika picha ya pamoja.
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akiwa na viongozi wa majeshi katika hafla ya kuwaapisha aadhi yao ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 30, 2016
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akiongea na viongozi wakati wa hafla hiyo.
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akisalimiana na Naibu Inspekta wa Polisi Abdulrahman Kaniki Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 30, 2016. (Picha na Ikulu)
|
COMMENTS