WAZIRI KALEMAN ATAKA MADENI YA BILI ZA UMEME KULIPWA KWA WAKATI TANESCO
HomeJamii

WAZIRI KALEMAN ATAKA MADENI YA BILI ZA UMEME KULIPWA KWA WAKATI TANESCO

 WAZIRI wa Nishati,Dkt Medard Kalemani akizungumza na uongozi wa Shirika la Umeme nchini Tanesco na wadau wa mbalimbali wa umeme i...

MSIKILIZE MKURUGENZI WA UCHAGUZI KAILIMA RAMADHAN AKIFAFANUA KUHUSU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NA UCHAGUZI MDOGO WA JANUARI 22, 2017
UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA
MNAJIMU HASSAN YAHYA HUSSEIN ATABIRI VIFO KWA VIONGOZI WA DINI, SIASA, WASANII, WANAHABARI MWAKA HUU,

 WAZIRI KALEMAN ATAKA MADENI YA BILI ZA UMEME KULIPWA KWA WAKATI TANESCO

 WAZIRI wa Nishati,Dkt Medard
Kalemani akizungumza na uongozi wa Shirika la Umeme nchini Tanesco na
wadau wa mbalimbali wa umeme ili kuweza kuweka mikakati madhubuti
kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa uhakika ikiwemo kuwahudumia
wateja kwa wakati na kuwepo kwa uhakika wa vifaa vyenye ubora ili
kuwezesha
Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akizungumza katika kikao hicho
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati,Dkt Mhandisi Juliana Pallangyo akiongea katika kikao hicho kushoto ni WAZIRI wa Nishati,Dkt Medard Kalemani
 Wajumbe na wadau mbalimbali wa nishati wakifuatilia kikao hicho leo


 Baadhi ya wajumbe wa uongozi wa
shirika kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Uzalishaji Umeme Mhandisi
Abdallah Ikwasa na kushoto ni Meneja wa Mwandamizi wa Tehama Dudu
 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa
Tanesco nchini  Dkt Tito Mwinuka kushoto  na Mkurugenzi wa REA Mhandisi
Gisima Nyamuhanga wakifuatilia kikao hicho
 Baadhi ya wajumbe wa bodi ya
wakurugenzi wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wakimsikiliza kwa
umakini Waziri Nishati,Dkt Medard Kalemani katika kikao hicho


Waziri wa Nishati Dkt Medard
Kaleman akiambatana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Subira Mgalu
wamefanya kikao na uongozi wa shirika la Umeme nchini (Tanesco) na wadau
mbalimbali wa umeme ili kuweza kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha
nishati ya umeme wa uhakika unapatikana.
Aliyasema hayo leo katika kikao
cha pamoja baina yake na uongozi wa shirika hilo wakiwemo wadau ambapo
alisema  watahakikisha wanawahudumia wateja kwa wakati ikiwemo uhakika
wa vifaa vyenye bora ili kuwawezesha wananchi kupatiwa umeme kwa haraka
zaidi .
Licha ya hivyo lakini pia Waziri
huyo alitilia mkazo suala la madeni yote ya bili za umeme kulipwa kwa
wakati kwenye shirika hilo ili kuweza kuwezesha ufanisi mkubwa katika
utendaji wa kazi .
Akizungumza na wazabuni mbalimbali
wa miundombinu ya umeme ikiwemo nguzo,nyaya na mita,Waziri Kaleman
alisema kuanzia sasa vifaa vya umeme vitanunuliwa ndani ya nchi kwani
kufanya hivyo itapunguza gharama kubwa na kasi ya kuwahudumia wateja.

"Kwani kufanya hivyo vifaa hivyo
vitakuwa karibu kupatikana ndani ya nchi na kutaongeza mapato ndani ya
nchi na uzalendo "Alisema.

Hata hivyo alilipongeza shirika la
Umeme nchini Tanesco kwa kufanya kazi kwa bidii na kutoa taarifa kwa
wateja juu ya huduma mbalimbali ikiwemo kuwataka kuwajibika kwa kufanya
kazi kwa waledi mkubwa




Aidha alisema kuwa mkakati wa
shirika hilo ni kuhakikisha mpaka ifikapo 2020 madeni yote shirika hilo
wanayoyadaiwa kwa wateja mbalimbali nchini yatakuwa yamekwisha kulipwa.




Sambamba na hayo alikema vitendo
vya wizi wa umeme na kuwataka wenye tabia za namna hiyo kuacha mara moja
na ambao watabainika watachukua hatua. 
 
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI KALEMAN ATAKA MADENI YA BILI ZA UMEME KULIPWA KWA WAKATI TANESCO
WAZIRI KALEMAN ATAKA MADENI YA BILI ZA UMEME KULIPWA KWA WAKATI TANESCO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2_MAihlr6O33aCU4ajb25F1UbwNcLTeSXtx5u353zxCakk0K9-p9ImmrL5xxhT_VGw3r0huOVz2ATZyGKMK0t-izJmsyRtXn5onbysbW5HYdidPHUGCrRHkNcXriK0EQNsM9PMQjCQ1zB/s640/DSC_2283.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2_MAihlr6O33aCU4ajb25F1UbwNcLTeSXtx5u353zxCakk0K9-p9ImmrL5xxhT_VGw3r0huOVz2ATZyGKMK0t-izJmsyRtXn5onbysbW5HYdidPHUGCrRHkNcXriK0EQNsM9PMQjCQ1zB/s72-c/DSC_2283.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/waziri-kaleman-ataka-madeni-ya-bili-za.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/waziri-kaleman-ataka-madeni-ya-bili-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy