UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA
HomeJamii

UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA

Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzin...

VIDEO; MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UNICEF NA BALOZI WA JAPAN
WATAFITI WA KODI AFRIKA WAJENGEWA UWEZO
VIDEO; OPERESHENI YA POLISI YANASA SILAHA NA WAHALIFU






UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Skuli mpya ya Sekondari Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba,iitwayo Mohamed Juma Pindua, ikiwa ni shamara shamara za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma. (Picha na Ikulu).
 
 
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikata Utepe kuashiria uzinduzi wa Skuli Sekondari Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba, ikiwa ni shamara shamara za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma, (kulia) Mama Mwanamwema Shein,
 
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma pamoja na Viongozi mbali mbali walipotembelea chumba cha Kompyuta mara baada ya kuizindua Skuli Mpya ya Sekondari ya Mkanyageni,iliyopewa jina la Mohamed Juma Pindua,katika Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba, ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia Vitabu mbali mbali wakati alipotembelea madarasa mbali mbali na maabara baada kuizindua Skuli Mpya ya Sekondari ya Mkanyageni,iliyopewa jina la Mohamed Juma Pindua, katika Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba, ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma.
 
 
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Mkwe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati walipowasili katika Ufunguzi wa Skuli Mpya ya sekondari ya Mohamed Juma Pindua huko Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba leo ikiwa ni shamara shamara za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.  Ali Mohamed Shein (katikati) akitoa maelekezo kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma wakati alipotembelea madarasa mbali mbali na maabara baada kuizindua rasmi leo Skuli mpya ya Sekondari Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba,iliyopewa jina la Mohamed Juma Pindua, ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto).
 
 
Wananchi na Wanafunzi wa Mkanyageni na Vijiji jirani Wilaya ya Mkoani Kusini Pemba waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Skuli Mpya ya Sekondari ya Mkanyageni, iliyopewa jina la Mohamed Juma Pindua, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipozungumza nao leo katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 35 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
 
Baadhi ya Wananchi na Wanafunzi wa Mkanyageni na Vijiji jirani Wilaya ya Mkoani Kusini Pemba wakimsikiliza Rais a Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipozungumza nao leo katika uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Mkanyageni,ilyopewa jina la Mohamed Juma Pindua, ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 35 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Januari 07 2017.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA
UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEgHjFJvHFf4zJWIN93O3kPBXw30HiapWcGkj8ezmfNbXISqN0BrF5mynsZLy6hXdPHqNjeRkyEh-oTamPyeXxOa40-sA9hZGBOh8aFVnVTipNds1N1IseWQOJxGkhk6GSrBtou9bWNSTjhJGD5DsWla13VJaMcIdzxUaVIKm5mUsrMMWQ=s0-d
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEgHjFJvHFf4zJWIN93O3kPBXw30HiapWcGkj8ezmfNbXISqN0BrF5mynsZLy6hXdPHqNjeRkyEh-oTamPyeXxOa40-sA9hZGBOh8aFVnVTipNds1N1IseWQOJxGkhk6GSrBtou9bWNSTjhJGD5DsWla13VJaMcIdzxUaVIKm5mUsrMMWQ=s72-c-d
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ufunguzi-wa-skuli-ya-sekondari-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ufunguzi-wa-skuli-ya-sekondari-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy