WAFANYAKAZI 143 WA OFISI YA RAIS UTUMISHI WAHAMIA DODOMA AWAMU YA PILI
HomeJamii

WAFANYAKAZI 143 WA OFISI YA RAIS UTUMISHI WAHAMIA DODOMA AWAMU YA PILI

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bibi. Dorothy Aidan Mwaluko akiagana na Kiongo...

WAZIRI JAFO AWASIMAMISHA KAZI WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA UJIJI NA PANGANI
WAAJIRI WANAWAJIBIKA KISHERIA KUFANYA TATHMINI YA MAJANGA (RISK ASSESSMENT) MAHALAPA KAZI KILA MWAKA-WCF
RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI CAG


Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bibi. Dorothy Aidan Mwaluko akiagana na Kiongozi wa msafara wa magari yaliyobeba mizigo ya ofisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la kuhamia Dodoma leo Jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78. Katikati mwenye miwani Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi. Jane Kajiru.
Gari lililobeba nyaraka na vifaa vya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora likijiandaa kuondoka katika viwanja vya ofisi hiyo iliyopo Magogoni leo jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78.
Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwapungia mikono ya kwaheri madereva wa magari yaliyobeba mizigo ya ofisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la kuhamia Dodoma leo Jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78.

(Picha na: Frank Shija – MAELEZO)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAFANYAKAZI 143 WA OFISI YA RAIS UTUMISHI WAHAMIA DODOMA AWAMU YA PILI
WAFANYAKAZI 143 WA OFISI YA RAIS UTUMISHI WAHAMIA DODOMA AWAMU YA PILI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlbsX_rJbuXI9g0u_YwTb4L8zUlGLcjTyeMAYqHrlgDik4MYGDbtD1cRYyXrc14y1qYLxYdCjL2q3BAswEzezT09iCBBMsskHajRGLjaC4pIzWPXKfqfq9emZWzn96Kh8H81Dj_WP-uOhP/s640/OR1a.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlbsX_rJbuXI9g0u_YwTb4L8zUlGLcjTyeMAYqHrlgDik4MYGDbtD1cRYyXrc14y1qYLxYdCjL2q3BAswEzezT09iCBBMsskHajRGLjaC4pIzWPXKfqfq9emZWzn96Kh8H81Dj_WP-uOhP/s72-c/OR1a.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/wafanyakazi-143-wa-ofisi-ya-rais.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/wafanyakazi-143-wa-ofisi-ya-rais.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy