JWTZ LAHUZUNISHWA NA KUUWAWA KWA ASKARI WAKE HUKO DRC NA WAASI
HomeJamii

JWTZ LAHUZUNISHWA NA KUUWAWA KWA ASKARI WAKE HUKO DRC NA WAASI

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO Simu ya Upepo   : “ N G O M E ”     Makao Makuu ya Jeshi,...

LHRC YAWANOA VIONGOZI WA DINI KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA MPYA
MRADI WA ECOPRC WAWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI JUU YA USIMAMIZI SHIRIKISHI WA MISITU NA MABADILIKO YA TABIA NCHI, MJINI MOROGORO
MHE. NAPE AKUTANA NA WAZEE JIMBONI KWAKE KUZUNGUMZIA MAENDELEO YAO KWA PAMOJA
Mwenge
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO

Simu ya Upepo   : “N G O M E     Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM 22150463   Sanduku la Posta 9203,
Telex     : 41051   DAR ES SALAAM,19 Septemba 2017
Tele Fax : 2153426
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)  linasikitika kutangaza kifo cha Askari wake aitwaye Praiveti Mussa Jumanne Muryery ambaye alikuwa katika Ulinzi wa Amani nchini DRC.
Askari huyo amefariki baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi na kundi la waasi tukio ambalo limetokea tarehe 17 Septemba 2017.
Kufuatia shambulizi hilo Umoja wa Mataifa umeunda Bodi ya Uchunguzi kuchunguza tukio hilo. Aidha, Maafisa na Askari wa JWTZ wanaendelea  na majukumu yao katika Operesheni hiyo.
Umoja wa Mataifa unaandaa utaratibu wa kuuleta mwili wa marehemu nchini.  Mtajulishwa taratibu za mapokezi, kuaga mwili wa marehemu na mazishi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, DAR ES SALAAM, Tanzania.

Kwa Mawasiliano zaidi : 0756 716085

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JWTZ LAHUZUNISHWA NA KUUWAWA KWA ASKARI WAKE HUKO DRC NA WAASI
JWTZ LAHUZUNISHWA NA KUUWAWA KWA ASKARI WAKE HUKO DRC NA WAASI
https://lh3.googleusercontent.com/cnZ8phniYVWq4LyEo9YvNfznhHvfRYfr69wgbbO9n715p4X5tSLie5y64Gq2pUILBw9XpsWbCe_MrAFGgmwnSR5sRNMQhICyyoOk1Alo3QUy2MXrQrmRQfKymKdmOGQ0KhFjWBM2t3TBvRw0XQ
https://lh3.googleusercontent.com/cnZ8phniYVWq4LyEo9YvNfznhHvfRYfr69wgbbO9n715p4X5tSLie5y64Gq2pUILBw9XpsWbCe_MrAFGgmwnSR5sRNMQhICyyoOk1Alo3QUy2MXrQrmRQfKymKdmOGQ0KhFjWBM2t3TBvRw0XQ=s72-c
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/jwtz-lahuzunishwa-na-kuuwawa-kwa-askari.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/jwtz-lahuzunishwa-na-kuuwawa-kwa-askari.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy