UNESCO YAFANYA UZINDUZI WA KOZI YA MAADILI KWA WALIMU WA VYUO VYA AFYA NA SAYANSI
HomeJamii

UNESCO YAFANYA UZINDUZI WA KOZI YA MAADILI KWA WALIMU WA VYUO VYA AFYA NA SAYANSI

Shirika la Umoja wa Matifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limefanya uzinduzi wa kozi ya maadili kwa walimu am...

CHINA KUWEKEZA VIWANDA NCHINI ATHIBITISHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI HIYO WANG YI
MSIKILIZE MKURUGENZI WA UCHAGUZI KAILIMA RAMADHAN AKIFAFANUA KUHUSU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NA UCHAGUZI MDOGO WA JANUARI 22, 2017
UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MOHAMED JUMA PINDUZI MKANYAGENI PEMBA



Shirika la Umoja wa Matifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limefanya uzinduzi wa kozi ya maadili kwa walimu ambao wanafundisha vyuo vya afya na sayansi kutoka ndani na nje ya nchi. Akizungumza katika ufunguzi wa kozi hiyo, Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO, Zulmira Rodrigues alisema UNESCO imeandaa kozi hiyo ili kuwajengea uwezo kuhusu maadili mema ya kazi walimu hao ili hata wanafunzi wanaowafundisha wawe na maadili mema sasa na hata baada ya kuhitimu masomo yao. 



Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO, Zulmira Rodrigues akitoa neno la ufunguzi katika kozi ya siku nne kwwa walimu wa vyuo vya afya wa ndani na nje ya nchi.

"Kwenu wanufaika wa kozi hii ambao itafanyika kwa siku nne, ni matumaini yangu kozi hii ya siku nne itatumika kikamilifu katika maisha yenu ya kila siku, ikiwa kama ni mkufunzi, mwanafunzi au katika tafiti zenu za kisayansi, na utakuwa balozi wa UNESCO kwa kusambaza elimu kwa wengine, "Jambo la muhimu ni kujenga uelewa ili kuhakikisha kama nchi inapambana na changamoto kubwa za kimaadili ambazo zinaikabili kwa sasa na baadae. UNESCO itaendelea kushirikiana na Muhimbili na wadau wengine wa ajili ya kusaidia Tanzania," alisema Zulmira. 
Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO, Zulmira Rodrigues akizungumza na washiriki wa kozi ya maadili kwa walimu wa vyuo vya afya.

Kwa upande wa Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi cha Muhimbili, Prof. Ephata Kaaya alisema mafunzo hayo ni muhimu kwa walimu hao na kuwahakikishia kuwa kila mshiriki hataondoka bure kwani watapewa mafunzo na wakufunzi wenye uwezo mkubwa. "Niwahakikishie washiriki wote wa kozi hii ambao mnatoka ndani na nje ya nchi kuwa mafunzo haya yatawaongezea uelewa kuhusu maadili mema, hili tatizo sio la Tanzania pekee hata Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda wote wanakabiliwa na hili tatizo kama ilivyo kwetu," alisema Prof. Kaaya. 
Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi cha Muhimbili, Prof. Ephata Kaaya akizungumza kuhusu kozi ya maadili kwa walimu wa vyuo vya afya na kuahidi kuwa mafunzo hayo yatakuwa bora na ambayo yatakuwa msaada mkubwa kwao.

Aidha Prof. Kaaya aliishukuru UNESCO kwa kutoa mafunzo hayo na kuwaomba kuendeleza ushirikiano uliopo kati yao. 
Baadhi ya washiriki wa kozi ya maadili ya siku nne iliyoandaliwa na UNESCO.

Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UNESCO YAFANYA UZINDUZI WA KOZI YA MAADILI KWA WALIMU WA VYUO VYA AFYA NA SAYANSI
UNESCO YAFANYA UZINDUZI WA KOZI YA MAADILI KWA WALIMU WA VYUO VYA AFYA NA SAYANSI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvLlLAcK72wQSWduRB-WNcc1wWWL9vueuljo2tetO28dzMEsSFkWrxJMB_iiEbEZR0GLfw_Bqc6kt-F5oCUMk2CBl4mIwCQmHBS054ZRV_XjqvP34lzTZw7h3zloq4zyo9RVIQy4m0ZvRC/s640/DSC_1268.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvLlLAcK72wQSWduRB-WNcc1wWWL9vueuljo2tetO28dzMEsSFkWrxJMB_iiEbEZR0GLfw_Bqc6kt-F5oCUMk2CBl4mIwCQmHBS054ZRV_XjqvP34lzTZw7h3zloq4zyo9RVIQy4m0ZvRC/s72-c/DSC_1268.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/unesco-yafanya-uzinduzi-wa-kozi-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/unesco-yafanya-uzinduzi-wa-kozi-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy