MCHUNGAJI DR GEORDAVIE AWASIHI JAMII KUJENGA TABIA YA KUSAIDIA YATIMA
HomeJamii

MCHUNGAJI DR GEORDAVIE AWASIHI JAMII KUJENGA TABIA YA KUSAIDIA YATIMA

Mchungaji D kt Geordavie akiombea bajeti mbalimbali za waumini walizoziletwa kwa ajili ya kutole wa neno la unabii hiii leo. M...

MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM AOMBA BUSARA ZA MASHEHE NA WAZEE KATIKA KULIONGOZA JIJI HILO
RAZA AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
TAARIFA YA MSIBA WA INNOCENT WAPALILA




Mchungaji Dkt Geordavie akiombea bajeti mbalimbali za waumini walizoziletwa kwa ajili ya kutolewa neno la unabii hiii leo.


Mchungaji Dkt. Geordavie akiwa anahubiri katika hema la kukutania ngurumo ya upako kisongo jijini Arusha hii leo.


Mchungaji akiwa anaendelea na huduma  ya sikuukuu ya kukusanya hii leo.





Mchungaji akiwaombea waumini waliouthuria katika sikukuuu hii ya kukusanya hii leo.



Mchungaji Dkt. Geordavie akiombea  bajeti mbalimbali  za waumini walizoziletwa kwa ajili ya kutolewa neno la unabii hii leo. (Picha na Woinde Shizza)



Na Woinde Shizza, Arusha
Watumishi  wa madhehebu mbalimbali ya dini hapa nchini wametakiwa kujijengea tabia ya kuwasaidia yatima ili nao waweze kujisikia kama wao ni sehemu ya jamii.

Hayo yamebainishwa leo na Mchungaji Dkt. Geordavie wakati akifanya dua maalumu ya kupitisha bajeti ya watu walioshiriki katika sikukuu ya kukusanya iliyofanyika katika hema la kukutania ngurumo ya upako kisongo jijini Arusha.

Alisema kuwa ni wajibu wa kila mtumishi
kukusanya  na kutoa kile alicho na uwezo nacho
ili kuweza kuwasaidia watoto yatima, wananchi
wasiojiweza ili kuweza kuwafanya nao wajisikie ni sehemu ya jamii


Alisema kuwa mbali na watoto yatima pia
aliwasihi viongozi wa makanisa ambayo yanajiweza kuweza kusaidia yale ambayo ni machanga ili kuweza kuwapa nguvu ya kuweza kuendelea kueneza injili na kumtangaza Mungu kupitia makanisa yao.




  Mchungaji Geordavie alisema kuwa  kuwa lengo la
sikukuu hii ya kukusanya nikuwasaidia watoto yatima kwa kuwapa chakula kama mchele, sukari pamoja na mafuta ya kupikia ili nao wajisikie furaha haswa katika kipindi hiki cha sikukuu.



Alisema kuwa licha ya misaada hiyo kwenda kwa watoto yatima, pia atatoa fedha kwa watumishi wa Mungu wenye makanisa madogo hapa nchini lengo likiwa ni kuinua huduma zao na kuwasaidia katika kuendeleza huduma zao ikiwa ni pamoja na ujenzi wa kanisa, ununuzi wa vyombo vya muziki na shughuli nyingine za kanisa.



Sikukuu hii ya kukusanya na kuadhimishwa huduma ya Ngurumo ya upako duniani tarehe 26 ya kila mwaka, watu hutoa sadaka ya vitu mbalimbali ikiwemo fedha na kisha hugawanywa kwa vituo vya
watoto yatima huku fedha zikigawanywa kwa watumishi waliotuma maombi ya kupata msaada   wa kuendeleza huduma zao.

Mwaka jana msaada wa zaidi ya shilingi
milioni 15 ulitolewa na waumini wa kanisa la Ngurumo ya upako na kugawanywa katika vituo mbalimbali vya watoto yatima huku fedha zikigawiwa kwa baadhi ya makanisa madogo  kwa ajili ya kuwasaidia katika mambo mbalimbali.






Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MCHUNGAJI DR GEORDAVIE AWASIHI JAMII KUJENGA TABIA YA KUSAIDIA YATIMA
MCHUNGAJI DR GEORDAVIE AWASIHI JAMII KUJENGA TABIA YA KUSAIDIA YATIMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYRWi_fVDTP3ol6hWBNuWmUP076tiSSNr7Ncy9uLZzK5PC6XM0QQdXMEEXa64X915l9Ne6yBScFFP6lz0I7T6xS6rnz8LtmZ4S2RbJMnIPrhkUqIkN14Hu99-59nW7_VeAMXqJo_Osg-xE/s640/IMG_2849.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYRWi_fVDTP3ol6hWBNuWmUP076tiSSNr7Ncy9uLZzK5PC6XM0QQdXMEEXa64X915l9Ne6yBScFFP6lz0I7T6xS6rnz8LtmZ4S2RbJMnIPrhkUqIkN14Hu99-59nW7_VeAMXqJo_Osg-xE/s72-c/IMG_2849.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/mchungaji-dr-geordavie-awasihi-jamii.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/mchungaji-dr-geordavie-awasihi-jamii.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy