KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGUA MKUTANO WA JPC KATI YA TANZANIA NA KENYA
HomeSiasa

KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGUA MKUTANO WA JPC KATI YA TANZANIA NA KENYA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Aziz Mlima akizungumza wakati wa ufunguzi wa mk...

AGA KHAN YAWAPIGA MSASA WABUNGE, WADAU UBORESHAJI ELIMU NCHINI
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMTEMBELEA MALECELA NA BUNGENI LEO
LEO KATIKA BUNGE MJINI DODOMA NOVEMBA 3, 2016



Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Aziz Mlima akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Kenya uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili maeneo mbalimbali ya ushirikiano ikiwemo sekta ya Elimu, Afya na Kilimo. 
 
Balozi wa Kenya hapa nchini, Mhe. Chirau Ali Mwakwere akifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya 
Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Bi. Talha Mohammed (kulia) naye akifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa JPC. 
 
 
Balozi Ben Ogutu, Kiongozi wa Ujumbe wa Kenya akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa JPC kati ya Tanzania na Kenya.
 
 
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akizungumza wakati wa Mkutano wa JPC kati ya Tanzania na Kenya.
 
 
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye pia alikuwa mshereheshaji akizungumza, Mindi Kasiga.
 
Sehemu ya wajumbe kutoka Kenya wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa JPC.
 
 
Sehemu ya wajumbe kutoka Tanzania wakifuatilia mkutano
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGUA MKUTANO WA JPC KATI YA TANZANIA NA KENYA
KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGUA MKUTANO WA JPC KATI YA TANZANIA NA KENYA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfshbMOlxWXhBkHrU31fH7FpveIetsJl9eSxJadPTBpMOHI6-rSVDeshjPHruMMCkP7C9uADKCIvdlsBGTT20k0NLtte1wzQggKZUs1kAt8gGHSgHqD7ryvenFZr7n1BfUedGiesCrQf8/s640/719A4402.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfshbMOlxWXhBkHrU31fH7FpveIetsJl9eSxJadPTBpMOHI6-rSVDeshjPHruMMCkP7C9uADKCIvdlsBGTT20k0NLtte1wzQggKZUs1kAt8gGHSgHqD7ryvenFZr7n1BfUedGiesCrQf8/s72-c/719A4402.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/katibu-mkuu-wa-mambo-ya-nje-afungua.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/katibu-mkuu-wa-mambo-ya-nje-afungua.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy