MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16
HomeJamii

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16

Baadhi ya Viongozi wenye Kampuni za Ulinzi.     Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva...

SERIKALI KUFANYA MSAKO MKALI KUWASAKA WAAJIRI AMBAO BADO HAWAJAJISAJILI NA MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF)
UBALOZI WA KUWAIT YAWAPAIGA TAFU WENYE ULEMAVU WA MKOA WA TABORA KUPITIA DK. MKOGA
TANZANIA NA UGANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUBORESHA SEKTA YA MIFUGO















Baadhi ya Viongozi wenye Kampuni za Ulinzi.
 
 

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa pili kulia)  akipokea risala kutoka kwa mmoja wa wahitimu , Asma Rajabu (kushoto) wakwanza kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani  JKT Meja, Dorah Kawawa.
 
 
Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa akifatilia jambo kwa umakini.
 
Luteni, Nelson Ponera akiangalia vijana wake wanavyo jituma mbele ya mgeni rasmi.
 
 
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva akizungumza jambo wakati akifunga mafunzo ya Mgambo kundi  la 54/16  yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam, ambapo  482  wamehitimu   Mafunzo hayo, kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani  JKT Meja, Dorah Kawawa  na Luteni, Nelson Ponera.
 
 

Mmoja wa wahitimu wa mafunzo  hayo akionyesha umahiri wake kwa kucheza karate.
 
 
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jitegemee wakifuatilia kwa makini.
 
Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa haraka.
 
 

Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa haraka.
 
Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa pole.
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva akizungumza jambo wakati alipokuwa akifunga mafunzo ya mgambo.
 
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya Mgambo yalio fanyika Dar es Salaam.
 
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa pili kulia) akikagua gwaride la Mgambo  wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam,  wa kwanza kulia ni Kasim Kiambwe na Luteni, Nelson Ponera.
 
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva (kushoto) akisalimiana na Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani  JKT Meja Dorah Kawawa wakati wa kufunga mafunzo ya Mgambo yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16
https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPFwIhQgwp3yvIL-adjf0Hb8KLSYhT0fJrennaZRitoWxfU0e2q7NgNH22b9TN5jP2LgzVG7Yrccr6X_NhH9n02Wx1KukTuc1D9n4l23tLrUmIQIon6bil0GsNHjOGW7oecLJl4_Y9nDE/s72-c/5+%25281%2529.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mkuu-wa-wilaya-ya-temeke-afunga-mafunzo.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mkuu-wa-wilaya-ya-temeke-afunga-mafunzo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy