MGANGA MKUU MKOA WA MWANZA AWATAHADHARISHA WANANCHI JUU YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.
HomeJamii

MGANGA MKUU MKOA WA MWANZA AWATAHADHARISHA WANANCHI JUU YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.

Dkt.Leonald Subi Na George Binagi-GB Pazzo Mganga Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Dkt. Leonald Subi,  amewahimiza wananchi kuwa ...

UNESCO YAKEMEA SHERIA ZINAZOKANDAMIZA UHURU WA HABARI
DC MTATURU AZINDUA UHABARISHO WA MAFUNZO YA KUIJENGEA UWEZO JAMII KATIKA KUIBUA NA KUPANGA MIRADI YA MAENDELEO
TAMKO LA MTANDAO WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2017/18






Dkt.Leonald Subi

Na George Binagi-GB Pazzo

Mganga Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Dkt. Leonald Subi, 

amewahimiza wananchi kuwa na desturi ya kupima afya zao mara 

kwa mara hususani kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza ili
 

kuepukana na madhara yake ikiwemo vifo vinavyofikia asilimia 27 

nchini.

Dkt Subi aliyasema hao wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya bure ya  uchunguzi wa saratani ya matiti na mlango wa kizazi mkoani 

Mwanza, inayofanyika kwa siku mbili kuanzia jana katika
 

Uwanja wa Furahisha, Vituo vya afya Igoma, Karumbe na 

Makongoro.

Aidha Dkt. Subi aliwahimiza wanajamii kubadili mfumo wa 

maisha  kwa kuzingatia kanuni za afya ili kuepukana na madhara 

yatokanayo na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
 

ambayo ni pamona na kansa, presha pamoja na kisukari.

“Magonjwa haya yanatokana na namna ya maisha tunavyoishi 

ikiwemo kutokufanya mazoezi, ulaji wa chakula usiozingazi 

kanuni, ulevi, uvutaji wa sigara, kuwa na wapenzi
 

wengi na kutokuzingatia kanuni za afya kwa ujumla”. Alisema 

Dkt.Subi.

Kampeni ya uchunguzi wa saratani ya matiti na mlango wa kizazi 

inaratibiwa na Chama cha Madaktari Wanawake nchini MEWATA 

katika mikoa ya Mwanza, Iringa na Mbeya kwa
 

lengo la kuhamasisha wananchi kupata huduma mapema kwani 

magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo saratani hutibika ikiwa 

mgonjwa ataanza matibabu mapema.

Tazama HAPA Picha za Uzinduzi
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MGANGA MKUU MKOA WA MWANZA AWATAHADHARISHA WANANCHI JUU YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.
MGANGA MKUU MKOA WA MWANZA AWATAHADHARISHA WANANCHI JUU YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcvtm7k1l4hJ41CdjkfCrdJOm7RZFDkJ4wFbUcR6_xD1THJR0_9RwbEdskIVBp1Smo5cQvId1z3qs9FR1IcabGLhCkLeMwT2FyTbjorKGTrQNhyphenhyphenHzB82mEJYPbb3GsBE_Ruo86oy97IgM/s640/5.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcvtm7k1l4hJ41CdjkfCrdJOm7RZFDkJ4wFbUcR6_xD1THJR0_9RwbEdskIVBp1Smo5cQvId1z3qs9FR1IcabGLhCkLeMwT2FyTbjorKGTrQNhyphenhyphenHzB82mEJYPbb3GsBE_Ruo86oy97IgM/s72-c/5.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mganga-mkuu-mkoa-wa-mwanza.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mganga-mkuu-mkoa-wa-mwanza.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy