ANAYEDAIWA KUWA KIBAKA WA BAJAJ APATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI NA KUKIMBIZWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA KUNUSURU UHAI WAKE

Mtu aliyetuhumiwa kujaribu kuiba pikipiki aina ya Bajaj maeneo ya Coco Beach Dar es Salaam akiwa tahabani baada ya kupata kipigo cha mbw...

Mtu aliyetuhumiwa kujaribu kuiba pikipiki aina ya Bajaj maeneo ya Coco Beach Dar es Salaam akiwa tahabani baada ya kupata kipigo cha mbwa mwizi maeneo ya Msasani jirani na Hospitali ya CCBRT hivi karibuni. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo kijana huyo alikubwa na mkasa huo alipokuwa katika harakati za kukimbia na inadaiwa alikuwa na hirizi inayomsaidia kuendelea kupumua. Askari wa Kituo cha polisi cha Oysterbay walifanikiwa kumpeleka Hospitali ya Mwananyamala na tutawajuza kama anaendelea na hali gani. Kwa mujibu wa askari wa Kituo hicho wamethibitisha kumfikisha hospitalini na kwa kuwa hakuna anayemtuhumu baada ya kupata kipigo kikali watafanya mchakato wa kumlinda mpaka atoke hospitalini.







Wakazi wa Dar es Salaam wakimwangalia kijana aliyetuhumiwa kujaribu kuiba pikipiki aina ya Bajaj baada kupata kipigo kikali kutoka kwa wananchi wenye hasira. Japokuwa kuchukua sheria mkononi ni uvunjaji wa sheria pia matukio ya mauaji ya jinsi hii yameendelea kutokea bila huruma kwa jamii ya Watanzania tofauti na miaka ya nyuma ambapo watu walikuwa na utamaduni wa kutoa taarifa kwa vyombo vya usalama ama kwa watendaji na haki kupatakana kwa watuhumiwa na wanaowatuhumu kuchukuliwa hatua ikibainika wamewasingizia.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: ANAYEDAIWA KUWA KIBAKA WA BAJAJ APATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI NA KUKIMBIZWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA KUNUSURU UHAI WAKE
ANAYEDAIWA KUWA KIBAKA WA BAJAJ APATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI NA KUKIMBIZWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA KUNUSURU UHAI WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHXWXnxNmrFSfeRIznwWBRTToLvqVqVOFKkHzcN-NBmYtMt45SVhPP7Xdep-oVHaxqVa1Ad171FBYMgvzIe5YvKZDF3kuiHi5-Q7ukwOoEJEZEYbfsafbqzE0uLN_ZvoLRA5BRrReu1r0/s1600/MASIKINII.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHXWXnxNmrFSfeRIznwWBRTToLvqVqVOFKkHzcN-NBmYtMt45SVhPP7Xdep-oVHaxqVa1Ad171FBYMgvzIe5YvKZDF3kuiHi5-Q7ukwOoEJEZEYbfsafbqzE0uLN_ZvoLRA5BRrReu1r0/s72-c/MASIKINII.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2013/12/anayedaiwa-kuwa-kibaka-wa-bajaj-apata.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2013/12/anayedaiwa-kuwa-kibaka-wa-bajaj-apata.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy