SERIKALI YADHAMIRIA KUMLINDA MTOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI
HomeJamii

SERIKALI YADHAMIRIA KUMLINDA MTOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI

Kaimu Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Marcel Katemba akifungua kikao kati ya Serikali na wadau wa mae...

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU KUTOKA BOT, MAKAMU WA RAIS BUNGE LA AFRIKA NA UMOJA WA WACHIMBAJI MADINI TANZANIA.
WAUGUZI WA CHUO KIKUU CHA NEW YORK MAREKANI KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) KUBORESHA UTOAJI HUDUMA KWA WAGONJWA
JWTZ YATOA TAARIFA YA KUAGWA KWA MAREHEMU P. NSEVILWE NZOWA





Kaimu Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Marcel Katemba akifungua kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto kujadili kwa pamoja namna ya kupambana na Ukatili wa mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Mwakilishi wa Shirika la C-Sema Bi.Thelma Dhanje akitoa taarifa kuhusu madhara ya ukatili wa mtoto mtandaoni kwa Menejimenti ya Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwenye kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto wakati wa kujadili namna ya kupambana na Ukatili wa mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Mhadhili kutoka Chuo Kikuu cha Ualimu Dar es salaam (DUCE) Dkt. Hezron Onditi akiwasilisha taarifa ya utafiti kuhusu madhara ya ukatili wa mtoto mtandaoni kwa Menejimenti ya Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto waliokutana kujadili namna ya kupambana na Ukatili wa mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Baadhi ya wadau na wajumbe wa Menejimenti kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto(Idara Kuu Maendeleo ya Jamii) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto katika kujadili namna ya kupambana na Ukatili wa Mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mtoto Bibi Magreth Mussai(kulia) akieleza masuala mbalimbali ya Sera ya Mtoto na utekelazaji wake katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto katika kujadila namna ya kuzuia unyanyasaji wa kingono kwa Mtoto katika mitandao kwenye kikao kilichofanyika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike(kulia)akieleza namna ukatili wa mtoto mtandaoni unavyoweza kuathiri maendeleo ya mtoto na jamii kwa ujumla katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto katika kujadilia namna ya kupambana na Ukatili wa Mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.


Mwanasheria kutoka Idara Kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Vickness Mayao akieleza uzingatiaji wa masuala ya kisheria na mikataba ya Kimataifa na Kikanda katika kutekeleza juhudi za Kitaifa za kumlinda mtoto dhidi ya ukatili wa mtandaoni katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto kilichofanyika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.



Mtaalamu kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Nehemia Mweni akieleza namna Mamlaka hiyo inavyoshiriki kupambana na Ukatili wa mtoto mtandaoni katika kikao kati ya Serikali na wadau wa maendeleo ya Mtoto katika kujadili namna ya kupambana na Ukatili wa mtoto mtandaoni katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma leo Mei 09,2018.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI YADHAMIRIA KUMLINDA MTOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI
SERIKALI YADHAMIRIA KUMLINDA MTOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvKA4rwLCBAuO9jWQTW4Sf1nr_-eWpHvn9T1ZYk3k9CqjBBRkbAKQNvLViVfYvxyoTRfEal75678Gi4dTlGc2y5wkXGWqW-yCz-hA0L8YQetHq1is8cqW0Cq6wEc3MnnGdaXPITgfjNfQ/s640/Pix+1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvKA4rwLCBAuO9jWQTW4Sf1nr_-eWpHvn9T1ZYk3k9CqjBBRkbAKQNvLViVfYvxyoTRfEal75678Gi4dTlGc2y5wkXGWqW-yCz-hA0L8YQetHq1is8cqW0Cq6wEc3MnnGdaXPITgfjNfQ/s72-c/Pix+1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/05/serikali-yadhamiria-kumlinda-mtoto.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/05/serikali-yadhamiria-kumlinda-mtoto.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy