BALOZI SEIF ALI IDD AFUNGUA MKUTANO MKUU WA TAPSEA, ZANZIBAR LEO

   Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano...




 
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,  Zanzibar leo. 
 Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd wakati akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano wao Mkuu, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Hassan Khatib Hassan akizungumza machache na kutoa salamu ya Mkoa wa kwa Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA).
 Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wazee na Wanawake - Zanzibar, Modlen Kastiko akizungumza na kuwahusia Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), katika Mkutano wao Mkuu, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Doroth Mwaluko akisisitiza jambo katika Mkutano Mkuu Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga akihamasisha jambo kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Chama hicho, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (wa pili kushoto) akimpongeza Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga, kwa hotuba yake aliyoisomba mbele ya Mkutano Mkuu Chama hicho, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Doroth Mwaluko na Kulia ni Katibu Mkuu wa TAPSEA, Festo Melikiory.



 

 Burudani ya Ngoma ya Kidumbaki ikiendelea kutumbuza Ukumbini hapo.
 

 

 Sehemu ya Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA).

 Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga akiteta jambo na Katibu Mkuu wake, Festo Melikiory, wakati wa Mkutano huo.
























































COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: BALOZI SEIF ALI IDD AFUNGUA MKUTANO MKUU WA TAPSEA, ZANZIBAR LEO
BALOZI SEIF ALI IDD AFUNGUA MKUTANO MKUU WA TAPSEA, ZANZIBAR LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4UAW_2CJIHyXnKGF948ggmBRR0wPvX6p_iu5gh0-ldxQo62Onmgi6LVsPUwhVPd6632K1bvpt-SR0wojhzMCtPkCkozzMuYZcDHV9JoRE1sL1rXfVdfYnSe9Fg6nkxejAgpZMJPlcWAqC/s640/MMG_3218.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4UAW_2CJIHyXnKGF948ggmBRR0wPvX6p_iu5gh0-ldxQo62Onmgi6LVsPUwhVPd6632K1bvpt-SR0wojhzMCtPkCkozzMuYZcDHV9JoRE1sL1rXfVdfYnSe9Fg6nkxejAgpZMJPlcWAqC/s72-c/MMG_3218.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/05/balozi-seif-ali-idd-afungua-mkutano.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/05/balozi-seif-ali-idd-afungua-mkutano.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy