UBUNIFU: MAKEKE KUJA NA VAZI LA UNGO LIJULIKANALO KAMA "LUPAHERO".
HomeJamii

UBUNIFU: MAKEKE KUJA NA VAZI LA UNGO LIJULIKANALO KAMA "LUPAHERO".

 Jinsi wazo lilivyopatikana. Katika maandalizi yaonyesho la kwanza kufanywa chini ya MAKEKE INTERNATIONAL lililofahamika kama I A...

MAJINA 16 YA WATU WANAOTUHUMIWA KUENDESHA MAUAJI HUKO KIBITI, RUFIJI NA MKURANGA YAWEKWA HADHARANI
WAFANYAKAZI WA MOHAMMED ENTERPRISES WAJITOLEA DAMU
PICHA WAZIRI MKUU AKITEMBELEA BANDA LA TIGO DODOMA LEO




 Jinsi wazo lilivyopatikana.



Katika maandalizi yaonyesho la
kwanza kufanywa chini ya MAKEKE INTERNATIONAL lililofahamika kama I AM MAKEKE
ndipo wazo hili la lupahero lilipozaliwa. Kwamujibuwa MAKEKE INTERNATIONAL
ilimchukua muda mrefu kupata wazo la
kufanya katika onyesho hilo licha ya kua na bidhaa nyingi za kubuni nguo mbalimbali ofisini kwake.

Baada ya kuwaza kwa muda mrefu ndani ya ofisi, alitoka nje na kurudi baada ya kutuliza akilila na wakati akirudi aliuona ungo kupitia dirisha uliokua umetundikwa ukutani kama pambo
la
ofisia mbapo aliamua kuuchukua na kukaa nao huku kichwa kikiendelea kuwaza na kuwazua ni wazo gani ataonyesha kwenye onesho lililokua mbeleyake.

Baada ya kuwaza kwa masaa kadhaa wazo lilimjia na kutaka kutoboa ungo aliokua nao  kwakiasi
cha
kuweza kuvaa shingoni ambapo alifanya hivyo na kupata ladha ya mapambo ya shingoni ya kimasaii la katika mwonekano wa ungo na ndipo alipoanza kufikiria mikato mingine ambayo   ungo unaweza kuingia na kudhihirisha ubunifu wa ungo kama vazi.

Baada ya kupata yote hayo Makeke alichukua daftari na kuanza kuchora kila alichokua amekiwaza kwa ufanisi zaidi kufanyia kazi kwa muda aliokua nao hali iliyofanya ubunifu wa ungo kutumika kwamara ya
kwanza katikatamasha la I AM MAKEKE mpaka hivisasa.

Mikato ya Lupahero

MAKEKE INTERNATIONAL 
imelenga zaidi kujenga dhana ya ushujaa na asili ya kiafrika ili kujenga mazingira ya kuweza kujiamini na kujua kuwa wewe ni
bora zaidi kutoka na jinsi ulivyo kama mwafrika na shujaa akiwa katika kila jambo.
Follow us on Facebook  @makeke international Instagram@makekeinternational  
On Apr 6, 2018 8:11 PM, "Mr. Lulela" wrote:



LUPAHERO
Baadayauzoefumkubwakatikamatumiziyamapishijikoni,
ungoumejizoleaumaarufumkubwabaadayakuingizwarasmikatikatasniayasanaahususanikatikaubunifuwamavazinakupewajina
la LUPAHERO naJocktanMakeke.

Maanaya LUPAHERO

Ubunifu huu wa mavazi umepewa jina la
LUPAHERO ambalo nimchanganyiko wamajina mawili ambayo ni LUPAPIKE, neno la
kinyakyusa lenye maana ya ungo na neno la pilini LUHELO, ambalo ni neno la kihehe lenye maana ya ungo.

Muunganikowamaneno haya mawili yamelenga kuletadhana yaushujaa kutokan ana ladha ya mavazi hayo kuwa na dhima hiyo,
huku neno Luhelo likitamkwa herufi zamwisho kama Hero, herufi L ikibadilishwa kuwa R
ilikupataneno hero la kingereza lenyemaana ya shujaa nakukamilisha maana halisi yaubunifu huo kuwashujaa wa ungo.  

Jinsiwazolilivyopatikana.

Katika maandalizi yaonyesho la
kwanza kufanywa chini ya MAKEKE INTERNATIONAL lililofahamika kama I AM MAKEKE
ndipo wazo hili la lupahero lilipozaliwa. Kwamujibuwa MAKEKE INTERNATIONAL
ilimchukua muda mrefu kupata wazo la
kufanya katika onyesho hilo licha ya kua na bidhaa nyingi za kubuni nguo mbalimbali ofisini kwake.

Baada ya kuwaza kwa muda mrefu ndani ya ofisi alitoka nje na kurudi baada ya kutuliza akilila na wakati akirudia aliuona ungo kupitia dirisha uliokua umetundikwa ukutani kamapambo
la
ofisia mbapo aliamua kuuchukua na kukaa nao huku kichwa kikiendelea kuwaza na kuwazua ni wazo gani ataonyesha kwenye onesho lililokua mbeleyake.

Baada ya kuwaza kwa masaa kadhaa wazo lilimjia na kutaka kutoboa ungo aliokua nao  kwakiasi
cha
kuweza kuvaa shingoni ambapo alifanya hivyo na kupata ladha ya mapambo ya shingoni ya kimasaii la katika mwonekano wa ungo na ndipo alipoanza kufikiria mikato mingine ambayo   ungo unaweza kuingia na kudhihirisha ubunifu wa ungo kama vazi.

Baada ya kupata yote hayo Makeke alichukua daftari na kuanza kuchora kilaalichokua amekiwaza kwa ufanisi zaidi kufanyia kazi kwa muda aliokua nao hali iliyofanya ubunifu wa ungo kutumika kwamara ya
kwanza katikatamasha la I AM MAKEKE mpaka hivisasa.

Mikato ya Lupahero



MAKEKE INTERNATIONAL 
imelenga zaidi kujenga dhana ya ushujaa na asili ya kiafrika ili kujenga mazingira ya kuweza kujiamini na kujua kuwa wewe ni
bora zaidi kutoka na jinsi ulivyo kama mwafrika na shuja akiwa katika kila jambo.
Follow us on Facebook  @makeke international Instagram@makekeinternational  
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UBUNIFU: MAKEKE KUJA NA VAZI LA UNGO LIJULIKANALO KAMA "LUPAHERO".
UBUNIFU: MAKEKE KUJA NA VAZI LA UNGO LIJULIKANALO KAMA "LUPAHERO".
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5JZ0-f-dD0sq5Gk06kAN3W94YJnrcnWOqp3rCfrqfX8yibTlR4YLW9thOA5199e2mIk3CgXQA6oT3SSk9HScNJzXihuE1wQheSYbvrDwqUeEPreMO9m6omaDpvNAKKqfLk1oOOsoowjFi/s640/lupahero-poster2.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5JZ0-f-dD0sq5Gk06kAN3W94YJnrcnWOqp3rCfrqfX8yibTlR4YLW9thOA5199e2mIk3CgXQA6oT3SSk9HScNJzXihuE1wQheSYbvrDwqUeEPreMO9m6omaDpvNAKKqfLk1oOOsoowjFi/s72-c/lupahero-poster2.webp
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/04/ubunifu-makeke-kuja-na-vazi-la-ungo.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/04/ubunifu-makeke-kuja-na-vazi-la-ungo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy