RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI YA KM 251 WILAYANI KONDOA
HomeJamii

RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI YA KM 251 WILAYANI KONDOA

Sehemu ya barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa inavyoonekana leo Aprili 27, 2018.Barabara hiyo ...

WAFANYAKAZI NEW HABARI CORPORATION HATARINI KUWA VIZIWI
RATIBA YA MAZISHI YA MWANASHERIA YUSTA MSOKA HAPA DAR ES SALAAM
WAKOSEFU TBS WAJISALIMISHE KUOMBA MSAMAHA







Sehemu ya barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa inavyoonekana leo Aprili 27, 2018.Barabara hiyo ambayo imejengwa kwa fedha za serikali, imezinduliwa rasmi na Rais John Magufuli leo.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Akinwumi Adesina baada ya kuhutubia kwenye sherehe za kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine akikatas utepe kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia wananchi wa Dodoma na Manyara alipowasili kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mshariki Dkt. Augustine Mahiga baada ya kuhutubia kwenye sherehe za kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea zawadi za jadi toka kwa wazee wa Kondoa wakati wa sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018


Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Akinwumi Adesina akipewa zawadi na wazee wa Kondoa baada ya ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida akipewa zawadi na wazee wa Kondoa baada ya ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishikana mikono na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Akinwumi Adesina na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida baada ya kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha na wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa waliohamia CCM baada ya sherehe za kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia wananchi wa Dodoma na Manyara baada ya kufungua barabara ya Dodoma-Babati ya KM 251 katika kijiji cha Bicha njiapanda ya Kondoa leo Aprili 27, 2018.(PICHA NA IKULU)



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina kushoto na Balozi wa Japan hapa nchini Masaharu Yoshida pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Pro. Makame Mbarawa kuashiria ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati km 251 katika sherehe zilizofanyika Bicha Kondoa mkoani Dodoma.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Chemba Juma Nkamia mara baada ya kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 katika sherehe zilizofanyika Bicha Kondoa mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina mara baada ya kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 katika sherehe zilizofanyika Bicha Kondoa mkoani Dodoma




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakati wa sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati km 251



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakati wa sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati km 251



Kikundi cha kwaya cha JKT Makutupora kikitumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati km 251 zilizofanyika Kondoa mkoani Dodoma.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wakati akiwasili Kondoa kwa ajili ya sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Dodoma-Babati km 251, Kondoa mkoani DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekule ambaye alihudhuria katika sherehe hizo za ufunguzi wa Barabara ya Dodoma-Babati km 251, Kondoa mkoani Dodoma. (PICHA NA IKULU)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI YA KM 251 WILAYANI KONDOA
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI YA KM 251 WILAYANI KONDOA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3F8YZWshQOl611KnunnxKNp8PA1JzRq6Cz1o9RKTwLTjVsvtRHSHDC6ksa1alAzk_xBRQGv0hCaXUAvth22RDoVK820SWVzrfB8qwJcseNK0whlpx56cQOHIBpHselKNfsrqn7HvUqfI/s640/ko+%252812%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3F8YZWshQOl611KnunnxKNp8PA1JzRq6Cz1o9RKTwLTjVsvtRHSHDC6ksa1alAzk_xBRQGv0hCaXUAvth22RDoVK820SWVzrfB8qwJcseNK0whlpx56cQOHIBpHselKNfsrqn7HvUqfI/s72-c/ko+%252812%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/04/rais-dkt-magufuli-afungua-barabara-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/04/rais-dkt-magufuli-afungua-barabara-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy