Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, "Mtoto wa Mkulima" akionyesha furaha yake baada ya kuzindua nembo ya "Malkia wa...
Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, "Mtoto wa Mkulima" akionyesha furaha yake baada ya kuzindua nembo ya "Malkia wa Ssali" kwenye hoteli ya Morena mjini Dodoma leo Aprili 14, 2018.
NA
K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DODOMA
K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DODOMA
WAKATI
kuna wimbi la uchomaji misitu ovyo hapa nchini, “Mtoto wa Mkulima, Waziri Mkuu
Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametoa “dawa” ya kuzuia uharibifu huo wa maliasili
na si nyingine bali ni kufuga nyuki.
kuna wimbi la uchomaji misitu ovyo hapa nchini, “Mtoto wa Mkulima, Waziri Mkuu
Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametoa “dawa” ya kuzuia uharibifu huo wa maliasili
na si nyingine bali ni kufuga nyuki.
Waziri
Mkuu huyo mstaafu ambaye alipenda kujitambulisha kama mtoto wa mkulima kutokana
na mapenzi yake katika Kilimo, alitoa “elimu” hiyo leo Aprili 14, 2018 wakati
akizindua nembo ya “Malkia wa Asali Tanzania” kwenye Hoteli ya Morena mjini
Dodoma.
Mkuu huyo mstaafu ambaye alipenda kujitambulisha kama mtoto wa mkulima kutokana
na mapenzi yake katika Kilimo, alitoa “elimu” hiyo leo Aprili 14, 2018 wakati
akizindua nembo ya “Malkia wa Asali Tanzania” kwenye Hoteli ya Morena mjini
Dodoma.
“Sisi
upande wa Katavi tulichofanya, nilmwambia mkuu wa Mkoa sisi kuchoma choama misitu
ni “tradition” (utamaduni) yaani
kuchoma ni jambo la kawaida na ukitaka kuzuia hili jaribu kutumia ufugaji wa
nyuki kama silaha ya kuzuia uchomaji wa miti.” Alisema na kuendelea.
upande wa Katavi tulichofanya, nilmwambia mkuu wa Mkoa sisi kuchoma choama misitu
ni “tradition” (utamaduni) yaani
kuchoma ni jambo la kawaida na ukitaka kuzuia hili jaribu kutumia ufugaji wa
nyuki kama silaha ya kuzuia uchomaji wa miti.” Alisema na kuendelea.
Kwa
hivyo alichofanya maeneo kama Inyonga, tulitenga maeneo na kuweka mabango yetu tukaweka
wafugaji wa nyuki na kuwaambia ninyi ndio walinzi wetu na tangu tufanye hivyo
kumekuwepo na hali nzuri sana, na uchomaji moto umepungua sana, alisema.
hivyo alichofanya maeneo kama Inyonga, tulitenga maeneo na kuweka mabango yetu tukaweka
wafugaji wa nyuki na kuwaambia ninyi ndio walinzi wetu na tangu tufanye hivyo
kumekuwepo na hali nzuri sana, na uchomaji moto umepungua sana, alisema.
Mheshimiwa
Pinda alitoa mfano mwingine jijini Mbeya (Mbeya city), ambako mji umezungukwa
na milima mizuri yenye misitu ambayo imekuwa ikiharibiwa na uchomaji moto mara
kwa mara.
Pinda alitoa mfano mwingine jijini Mbeya (Mbeya city), ambako mji umezungukwa
na milima mizuri yenye misitu ambayo imekuwa ikiharibiwa na uchomaji moto mara
kwa mara.
“Alitokea
baba mmoja Askofu Mwalyego siku moja akaja kuniambia baba mimi hii inanikera
kama inavyokukera sana wewe, hivi nikijaribu ku-introduce ufugaji wa nyuki hapa
itasaidia, nikamwambia try (jaribu),
ameweka wafugaji wa nyuki kuzunguka
milima pale Mbeya mjini na mimi nikamwambia I
will buy all your honey na juzi nikawa namuuliza zoezi langu linakwendaje,
akaniambia nina miaka miwili mitatu sijaona moshi kwenye lile eneo.
baba mmoja Askofu Mwalyego siku moja akaja kuniambia baba mimi hii inanikera
kama inavyokukera sana wewe, hivi nikijaribu ku-introduce ufugaji wa nyuki hapa
itasaidia, nikamwambia try (jaribu),
ameweka wafugaji wa nyuki kuzunguka
milima pale Mbeya mjini na mimi nikamwambia I
will buy all your honey na juzi nikawa namuuliza zoezi langu linakwendaje,
akaniambia nina miaka miwili mitatu sijaona moshi kwenye lile eneo.
Kutokana
na uzoefu huo Mtoto wa Mkulima akatoa
hakikisho kuwa “Hii ni silaha moja nzuri kwa sababu mtu akielewa halimpi shida
hata kidogo.” Alisema.
na uzoefu huo Mtoto wa Mkulima akatoa
hakikisho kuwa “Hii ni silaha moja nzuri kwa sababu mtu akielewa halimpi shida
hata kidogo.” Alisema.
Mhe.
Pinda pia alisema, ufugaji nyuki pia ni silaha ya kuzuia ujangili wa wanyama na
kutolea mfano wa hifadhi ya misitu huko Kigoma na alipokutana na CEO pale
masikitiko yake makubwa ilikuwa ni sula la ujangili na ushauri wangu
nilimwambia akae na wafugaji nyuki, walau kuzunguka eneo hiulo la misitu.
Pinda pia alisema, ufugaji nyuki pia ni silaha ya kuzuia ujangili wa wanyama na
kutolea mfano wa hifadhi ya misitu huko Kigoma na alipokutana na CEO pale
masikitiko yake makubwa ilikuwa ni sula la ujangili na ushauri wangu
nilimwambia akae na wafugaji nyuki, walau kuzunguka eneo hiulo la misitu.
“Yule
bwana alijaribu na nilipomtembelea mara ya pili aliruhusu wafugaji na mfugaji
bwana ukimwambia ukimwambia ukiruhusu kuingia hapa mtu ambaye hatumjui
tunakufukuza hapa unaondoka na anajua ndoo moja laki moja inamkosa hakubali na
kwakweli wamefanya kazi nzuri na amewafanya sasa kama askari wa wanyamapori.”
Alifafanua
bwana alijaribu na nilipomtembelea mara ya pili aliruhusu wafugaji na mfugaji
bwana ukimwambia ukimwambia ukiruhusu kuingia hapa mtu ambaye hatumjui
tunakufukuza hapa unaondoka na anajua ndoo moja laki moja inamkosa hakubali na
kwakweli wamefanya kazi nzuri na amewafanya sasa kama askari wa wanyamapori.”
Alifafanua
Akizungumzia
faida ya asali, Mhe. Pinda alisema ni chakula kilichobeba virutubisho vyote
ambavyo binadamu anahitaji lakini si hivyo tu, asali imekuwa na soko kubwa
ulimwenguni na inaweza kuwa chanzo kimoja cha kukuza uchumi kwa wananchi na
taifa kwa ujumla.
faida ya asali, Mhe. Pinda alisema ni chakula kilichobeba virutubisho vyote
ambavyo binadamu anahitaji lakini si hivyo tu, asali imekuwa na soko kubwa
ulimwenguni na inaweza kuwa chanzo kimoja cha kukuza uchumi kwa wananchi na
taifa kwa ujumla.
“Nawaomba
sana waheshimiwa wabunge, mimi nilishatoka huko, lakini bwana Camara hapa
anachohitaji ni visemeo juu ya umuhimu wa sekta hii, ni sekta ndogo lakini
mchango wake unaweza kusaidia sana katika uchumi.
sana waheshimiwa wabunge, mimi nilishatoka huko, lakini bwana Camara hapa
anachohitaji ni visemeo juu ya umuhimu wa sekta hii, ni sekta ndogo lakini
mchango wake unaweza kusaidia sana katika uchumi.
Aidha
Mheshimiwa Pinda alisema, nchi yetu imejaliwa kuwa na eneo kubwa sana la misitu
kuliko nchi nyingi na kusikitishwa wakati alipokwenda Addis-Ababa Ethiopia ambapo
aliposoma jarida, aliona eti Ethiopia ndio namba moja kwa uzalishaji asali
barani Afrika, nikamwambia Camara hivi Ethiopia ina uoto gani wa asili wa
kuizidi Tanzania?
Mheshimiwa Pinda alisema, nchi yetu imejaliwa kuwa na eneo kubwa sana la misitu
kuliko nchi nyingi na kusikitishwa wakati alipokwenda Addis-Ababa Ethiopia ambapo
aliposoma jarida, aliona eti Ethiopia ndio namba moja kwa uzalishaji asali
barani Afrika, nikamwambia Camara hivi Ethiopia ina uoto gani wa asili wa
kuizidi Tanzania?
Alisema,
mahitaji ya asali Tanzania ni zaidi ya
tani 140,000 na anaamini ni zaidi lakini Tanzania inatoa asali kidogo sana, na
Ethiopia wanazalisha tani 40,000 wakati yeye (Pinda) Tanzania inazalisha tani
24,000 tu.
mahitaji ya asali Tanzania ni zaidi ya
tani 140,000 na anaamini ni zaidi lakini Tanzania inatoa asali kidogo sana, na
Ethiopia wanazalisha tani 40,000 wakati yeye (Pinda) Tanzania inazalisha tani
24,000 tu.
Nembo
hiyo iliyozinduliwa ni ya kampuni ya Nyuki Safari ambayo iko chini ya Mtanzania
Kaizirege David Camara na Mmarekani Mary Winzer Canning na lengo lake ni
kuboresha bidhaa hiyo ya asli ili kuvutia soko.
hiyo iliyozinduliwa ni ya kampuni ya Nyuki Safari ambayo iko chini ya Mtanzania
Kaizirege David Camara na Mmarekani Mary Winzer Canning na lengo lake ni
kuboresha bidhaa hiyo ya asli ili kuvutia soko.
![]() |
Mhe. Pinda akiangalia Mvinyo (wine), uliotengenezwa na kampuni ya Nyuki safari ikiwa na nembo mpya ya Malkia wa Asali.
|

Mhe. Pinda na wageni wengine wakishiriki kwenye uzinduzi wa nembo hiyo.
Mhe. Pinda wakati akitoa hotuba yake.
Mhe. Pinda katika picha ya pamoja na Waanzilishi wenza wa kampuni ya Nyuki Safari, Bw.Kaizirege David Camara, (kushoto), na Bi. Mary Winzer David Canning.
Bw. Kaizirege akizungumza.
Mhe. Pinda, (katikati), Mama Sitta ba Bi. Mary
Mkurugenzi wa Wilaya ya Chamwino, Bw.Paschal Masatu, akitoa hotuba yake
Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Profesa Silayo, akizungumza.
COMMENTS