JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAKABIDHI VYETI VYA SHUKRANI

Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Billy J. Mwakatage (wa tatu kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni zilizopewa vyeti vya shukrani “Certificate of appreciation” kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Brian Fernandes (wa tatu kushoto) kutoka Dar es salaam Yacht Club (DYC), Ally Saleh Kitobe (wa pili kushoto) kutoka Tanzania Sea Rescue na Issa Lwamba (wa pili kulia) kutoka Dar es Salaam Independent School (DIS). Makabidhiano yaliyofanyika mapema leo hii katika viwanja vya Dar es Salaam Yacht Club Masaki Jijini Dar es Salaam.


HomeJamii

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAKABIDHI VYETI VYA SHUKRANI

Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Billy J. Mwakatage (wa tatu kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na wawaki...

KONGAMANO LA RC MAKONDA NA WATENDAJI WA DAR ES SALAAM LILIVYOKUWA
BUNGE LA TANZANIA LAPOKEA MWALIKO WA KUJIUNGA NA UMOJA WA MABUNGE YA AFRIKA (AFRICA PARLIAMENTARY UNION)
ZAIDI YA SH BILIONI 200 KUWANUFAISHA VIJANA NCHINI


Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Billy J. Mwakatage (kulia) akimkabidhi cheti cha shukrani “certificate of appreciation” Meneja Mkuu wa Dar es Salaam Yacht Club (DYC) Bw. Brian Fernandes (kushoto)  kwenye hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Dar es Salaam Yacht Club Masaki Jijini Dar es Salaam mapema leo hii.




Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Billy J. Mwakatage (kulia) akimkabidhi cheti cha shukrani “certificate of appreciation” nahodha wa Tanzania Sea Rescue (TSR) Bw. Ally Saleh Kitobe aliyeiwakilisha kampuni yake  kwenye hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Dar es Salaam Yacht Club Masaki Jijini Dar es Salaam mapema leo hii.





Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAKABIDHI VYETI VYA SHUKRANI
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAKABIDHI VYETI VYA SHUKRANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVlLJrxOpTSebVCNQX9IGe_fxSlTeN85TtmfeIdYuy6xwBFWafZ8kCtMz3coXPUt0Hd-vT6-Yd8VW1rvYSJ03S_AxSn1jfCCHdiPrWCw3OzgqtRm5OApbRbBeqLC5iC42azbrzqHduXEo/s640/PIX3.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVlLJrxOpTSebVCNQX9IGe_fxSlTeN85TtmfeIdYuy6xwBFWafZ8kCtMz3coXPUt0Hd-vT6-Yd8VW1rvYSJ03S_AxSn1jfCCHdiPrWCw3OzgqtRm5OApbRbBeqLC5iC42azbrzqHduXEo/s72-c/PIX3.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/04/jeshi-la-zimamoto-na-uokoaji-lakabidhi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/04/jeshi-la-zimamoto-na-uokoaji-lakabidhi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy