TEMESA NA TBA ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KASI NA VIWANGO

NAIBU WAZIRI WA UJENZI by Anonymous zPUXs8aO on Scribd Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akifungua mkutano Uliowakutanish...






Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akifungua mkutano Uliowakutanisha Wataalam kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) na Menejimenti ya Sekta Mawasiliano (hawapo pichani), kujadili namna ya kuzingatia sheria za manunuzi Mkoani Dodoma.Kulia ni Afisa Utumishi Mwandamizi wa Sekta ya Mawasiliano, Trano Mubarok.


Kaimu Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme Nchini (TEMESA), Marwa Chacha, akimwoyesha Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, baadhi ya vifaa vilivyotengenezwa  kwenye moja ya magari ya Serikali yanayotengezwa na Wakala huo, wakati Naibu Waziri huyo alipokagua karakana ya magari ya wakala huo Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akiangalia uchakavu wa moja ya nyumba zinazomilikiwa na Wakala wa Majengo Nchini (TBA), alipokagua nyumba hizo Mkoani Dodoma. TBA mpaka sasa inamiliki nyumba zaidi ya 800 mkoani humo.



Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo Nchini (TBA), Steven Simba (kulia), akimweleza Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa (kushoto), hatua iliyofikiwa ya ukarabati wa moja ya nyumba za viongozi, wakati Naibu Waziri huyo alipokagua maendeleo ya ukarabati wa nyuma za viongozi Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa (wa kwanza), akitoa maelekezo kwa Uongoz wa Wakala wa MAjengo Nchini (TBA), alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mkoani Dodoma.


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TEMESA NA TBA ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KASI NA VIWANGO
TEMESA NA TBA ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KASI NA VIWANGO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0DLof-RM9FPI2iHMxwOgxdsgC3DdsgEne8PVf9-JWzUQIVzAoVym_uxwqly1ufZR7_3WQGqirt41lK1QhvIjNgecKiBQ05BEVTeBYjE8a-prOs-H6pdPHbBm3imVcPLYg8AWvc3eN1yk/s640/2+%25284%2529.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0DLof-RM9FPI2iHMxwOgxdsgC3DdsgEne8PVf9-JWzUQIVzAoVym_uxwqly1ufZR7_3WQGqirt41lK1QhvIjNgecKiBQ05BEVTeBYjE8a-prOs-H6pdPHbBm3imVcPLYg8AWvc3eN1yk/s72-c/2+%25284%2529.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/03/temesa-na-tba-zatakiwa-kufanya-kazi-kwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/temesa-na-tba-zatakiwa-kufanya-kazi-kwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy