RAIS SHEIN AHUDHURIA MAHAFALI YA 13 YA SUZA ZANZIBAR LEO
HomeJamii

RAIS SHEIN AHUDHURIA MAHAFALI YA 13 YA SUZA ZANZIBAR LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Dk. Ali Mohamed Shein pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) akihutubi...

KANISA LA ABC LASIMIKA WACHUNGAJI WAKE NA KUWEKA WAKFU WAANGALIZI, LAWATAKA KUWAUNGANISHA WATANZANIA
WAKIMBIZI WA BURUNDI KUANZA KUREJEA KWAO SEPTEMBA 7 MWAKA HUU
KOREA KASKAZINI YATENGENEZA TETEMEKO KUBWA KULIKO LILE LA KAGERA


 RAIS SHEIN AHUDHURIA MAHAFALI YA 13 YA SUZA ZANZIBAR LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Dk. Ali Mohamed Shein pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) akihutubia wakati wa hafla ya Mahafali ya 13 ya Chuo hicho yaliofanyika katika ukumbi mpya wa SUZA wa Dk Ali Mohamed Shein.(Picha na Ikulu).

BAADHI ya Wakufunzi na Wahitimu wa Mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar(SUZA) Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Shahada ya Uzamivu ya Kiswahili Salma Omar Hamad, wakati wa hafla ya Mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar ( SUZA) jumla ya wahitimu watano wametunukiwa Shadaha hiyo.
WAHITIMU wa Shahada ya Uzamivu ya Kiswahili wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wakati akihutubia na kutowa nasaha zake kwa wahitimu wa mahafali ya 13 ya SUZA.
WAHITAJI wa Stashahada ya Utibabu wakila kiapo baada ya kutunukiwa stashahada katika hafla ya Mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Taifa SUZA,Tunguu yaliofanyika katika ukumbi mpya wa Dk. Ali Mohamed Shein,Tunguu Zanzibar.
WAHITIMU wa Shahada ya Uzamili ya Sanaa ya Kiswahili wakitunukiwa shahada yao wakati wa mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA, wakati wa mahafali hayo yaliofanyika katika ukumbi mpya wa Dk. Ali Mohamed Shein, Tunguu Zanzibar.
BAADHI ya Waalikwa katika Mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA ) wakiwa katika ukumbi wa mahafali hayo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RAIS SHEIN AHUDHURIA MAHAFALI YA 13 YA SUZA ZANZIBAR LEO
RAIS SHEIN AHUDHURIA MAHAFALI YA 13 YA SUZA ZANZIBAR LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAQ-WYvWyK_iiVTGp-reWQZo5AXw31ayjcydpawgLr01-IMu2BeOm1EOKbmYQskKneTeIZpQBzVOfTxLxTtRn5GoaMgo4xV-wc-U0dbL0vNkUhpb65eMJgIPZsogn8FvQUWYNRwTESAGY/s640/DSC_4771.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAQ-WYvWyK_iiVTGp-reWQZo5AXw31ayjcydpawgLr01-IMu2BeOm1EOKbmYQskKneTeIZpQBzVOfTxLxTtRn5GoaMgo4xV-wc-U0dbL0vNkUhpb65eMJgIPZsogn8FvQUWYNRwTESAGY/s72-c/DSC_4771.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/02/rais-shein-ahudhuria-mahafali-ya-13-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/02/rais-shein-ahudhuria-mahafali-ya-13-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy