NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiongea wakati wa uzinduzi wa ‘SAGCOT Initiative’ uliofanyika kwenye ofisi za ...
Sehemu ya wadau na waandishi wa habari wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi huo.
|
Balozi Jumuiya ya Ulaya Tanzania (EU) na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Roeland van de Geer akitoa ufafanuzi na hotuba yake kwa wageni na wadau walioshiriki hafla ya uzinduzi huo. |
Mwakilishi mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (FAO), Fred Kafeero akizungumza na washiriki wa hafla ya uzinduzi huo. |
Sehemu ya wadau na waandishi wa habari wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi huo.
|
Mkuu wa Kitengo cha Maliasili wa Jumuiya ya Ulaya Tanzania (EU) na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jenny Correia Nunes akijibu sehemu ya maswali yalioulizwa na wana habari wakati wa hafla hiyo.
|
Notes for Opening Remarks (002) by Anonymous zPUXs8aO on Scribd
COMMENTS