WAZIRI MBARAWA AUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) JIJINI DAR ES SALAAM
HomeJamii

WAZIRI MBARAWA AUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) JIJINI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo (wa pili kulia), akibadilishana mawazo na Ofisa Uhusiano Mwandami...

MAKAMU WA RAIS AZINDUA MWONGOZO KWA WAPELELEZI NA WAENDESHA MASHITAKA WA KESI ZA WANYAMAPORI NA MISITU
KAULI YA MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN KWA WAPELELEZI NA WAENDESHA MASHTAKA NCHINI
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI KUBORESHA BARABARA

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo (wa pili kulia), akibadilishana mawazo na Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa TPC, Joseph Ngowi (kulia), wakati wakimsubiri mgeni rasmi, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa. Katikati ni Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwang'ombe.Wengine kushoto ni Maofisa waandamizi kutoka wizarani.

Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwang'ombe akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta, ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni mgeni rasmi, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa.

Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakisikiliza maelezo ya ufunguzi wa baraza hilo.   

Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri Profesa Mbarawa kuufungua mkutano huo. 

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakisikiliza maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa katika ufunguzi huo.

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akifungua  mkutano huo. 

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Mbarawa, akizungumza na wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa TPC, wakati akiufungua mkutano wa baraza hilo, jijini Dar es Salaam leo. 

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Mbarawa, akizungumza na wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Posta. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Posta, Dk. Haruni Kondo na kulia ni Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwang'ombe. 

Baadhi ya wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi, wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Mbarawa.

Wajumbe wa Baraza Kuu, wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa.

Mjumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi, Peter Bihume, Meneja wa Posta Mkoa wa Kigoma, akimuuliza swali Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa katika mkutano huo.

Mjumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi, Ahmed Kaumo, ambaye pia ni Mwenyekiti TEWUTA, akitoa neno la shukrani kwa Waziri Prof. Mbarawa.

Mkuu wa Kitengo cha uhusiano cha TPC, Elia Madulesi, akizungumza, wakati akifafanua jambo katika mkutano huo.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akisalimiana wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa TPC, mara baada ya kuufungua mkutano wao, jijini Dar es Salaam leo.  

 Mwenyekiti wa Bodi ya TPC Dkt. Haruni Kondo akisalimiana na wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi mara baada ya kuufungua mkutano wao huo jijini Dar es Salaam leo.

Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi, wakiwa katika mkutano huo, leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa (katikati mbele), akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa TPC, mara baada ya kuufungua mkutano huo, jijini leo. kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo na kulia kwake ni Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwang'ombe. 
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MBARAWA AUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) JIJINI DAR ES SALAAM
WAZIRI MBARAWA AUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) JIJINI DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiKYMTr7yVbAfQskTGDe_csIhR1lTXYngbkBmRhu1LGr2elL4khfJAdpIzdgNyBLfX0Hbq4WpZJoOiedHJhSxKusp5fGWza3FP-9b_CLiBNEdDlMOqzVbzO7CdIsDUXDy7g1KtKf0559zCq/s640/IMG_0371.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiKYMTr7yVbAfQskTGDe_csIhR1lTXYngbkBmRhu1LGr2elL4khfJAdpIzdgNyBLfX0Hbq4WpZJoOiedHJhSxKusp5fGWza3FP-9b_CLiBNEdDlMOqzVbzO7CdIsDUXDy7g1KtKf0559zCq/s72-c/IMG_0371.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/waziri-mbarawa-aufungua-mkutano-wa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/waziri-mbarawa-aufungua-mkutano-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy