MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC), DK. HARUN KONDO ATOA SALAMU ZAKE KWA MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI
HomeBiashara

MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC), DK. HARUN KONDO ATOA SALAMU ZAKE KWA MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam leo, waka...

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MARY MWANJELWA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA MAZAO YA CHAKULA WAKATI NA BAADA YA KUVUNA
BENKI YA CRDB YAWAHAKIKISHIA DHAMANA YA KAZI NA MIKOPO WAKANDARASI
UZALISHAJI WA MAZAO YA CHAKULA NA BIASHARA UMEONGEZEKA KWA KASI-MHE MWANJELWA
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akitoa salamu zake katika kuadhimisha Siku ya Posta Afrika kesho, Januari 9, 2018. Kushoto ni Kaimu Postamasta Mkuu wa TPC, Hassan Mwang'ombe.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)

Baadhi ya viongozi wa vitengo vya Shirika la Posta wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Haruni Kondo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, wakati akitoa salamu zake katika kuadhimisha Siku ya Posta Afrika kesho Januari 9, 2018. 

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Haruni Kondo, jijini leo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, wakati akitoa salamu zake katika kuaadhimisha Siku ya Posta Afrika kesho.

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakiwa katika mkutano huo jijini leo.

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakisikiliza, salamu zilizokuwa zikitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Haruni Kondo, mbele ya waandishi wa habari, katika kuaadhimisha Siku ya Posta Afrika jijini Dar es Salaam kesho.

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Haruni Kondo.

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakifuatilia mkutano huo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo akitoa salamu zake katika za maadhimisho ya Siku ya Posta Afrika, mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam leo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha TPC, Elia Madulesi (kulia) na Meneja Msaidizi wa Huduma za Barua, Jasson Kalile, wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa mbele ya waandishi wa habari katika mkutano huo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo akijibu baadhi ya maswali yaliyokuwa yakiulizwa na waandishi wa habari, mara baada ya kutoa salamu zake za  maadhimisho ya Siku ya Posta Afrika.

Kaimu Postamasta Mkuu wa TPC, Hassan Mwang'ombe, akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano huo. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo.

Kaimu Postamasta Mkuu wa TPC, Hassan Mwang'ombe, akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano huo.

Baadhi ya viongozi wa wafanyakazi na wa vitengo vya Shirika la Posta wakifuatilia mkutano huo.


SALAAM ZA MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA SIKU YA POSTA AFRIKA 2018

KESHO tarehe 18/01/2018, Shirika letu la Posta litaungana na Mashirika mengine Afrika kuadhimisha kuanzishwa kwa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) mnamo mwaka 1980.

Umoja huu makao makuu yake yapo Arusha Tanzania. Lengo la kuanzishwa Umoja huu ni kusimamia maendeleo ya Posta Afrika.

Pamoja na salaam zangu kwa Katibu Mkuu wa Umoja huu Bwana Younouss Djibrine na watendaji wenzake, napenda kuwapongeza wanaposherehekea miaka 38 ya Umoja huu.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni “POSTA: Muundombinu muafaka kwa Serikali katika kufikia Malengo yake ya Maendeleo”.

Kutokana na Posta kuwa na matawi mengi yaliyosambaa katika nchi kuliko watoa huduma wengine hapa nchini, tunapongeza kauli mbiu hii na kwa kweli Shirika limejipanga katika kuhudumia wananchi katika kuwezesha mafanikio yao kibiashara, kama mnavyofahamu mwaka jana 2017 Shirika letu liliibuka kidedea katika kundi la watoa huduma (Trade Facilitation) na kukabidhiwa ngao ya ushindi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. John Pombe Magufuli..

Shirika letu limeanza mikakati ya kufungua vituo “Huduma Express” hapa Posta Mpya Dar es salaam na vingine vitaanza Dodoma, Mwanza, Arusha, Mbeya na Zanzibar. Katika vituo hivi tunaweza kutoa huduma mbalimbali mahali pamoja “One-Stop-Centre” na hii itasaidia sana Serikali kutoa huduma zake kwa wananchi kwa urahisi zaidi. Hii inaenda sambamba na kauli mbiu ya mwaka huu. “POSTA kama Muundo Mbinu muafaka kwa Serikali katika kufikia malengo yake ya maendeleo”.

Pia Dk. Kondo alitumia fursa hiyo kuelezea kwa muhtasari mafanikio na changamoto mbalimbali ambazo Shirika lilikabiliana nazo mwaka jana 2017.

Alielezea kuwa Shirika kwa ujumla lilipata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuzindua nembo mpya mwezi Desemba 2017 na sasa liko kwenye maandalizi ya kuboresha muonekano wa Shirika katika ofisi zake nchini kote.

Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya wenye fanaka 2018.

Lt. Col. Mstaafu. Dk. Haruni Kondo
MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA 


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC), DK. HARUN KONDO ATOA SALAMU ZAKE KWA MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI
MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC), DK. HARUN KONDO ATOA SALAMU ZAKE KWA MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjydqltKJTBn4vinmX96Hz_a0YnhYXz8PeWzZVGsNw9rp866jKVqibEzPvdBUXC1VIqY64QVSB0xySCL3FCyBZGimF2ncnP4zPYuucoiRdCAxdlTfOMg2jriMJDWqCbWT4vum9p-rowGPRP/s640/IMG_0190.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjydqltKJTBn4vinmX96Hz_a0YnhYXz8PeWzZVGsNw9rp866jKVqibEzPvdBUXC1VIqY64QVSB0xySCL3FCyBZGimF2ncnP4zPYuucoiRdCAxdlTfOMg2jriMJDWqCbWT4vum9p-rowGPRP/s72-c/IMG_0190.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/mwenyekiti-wa-bodi-ya-shirika-la-posta.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/mwenyekiti-wa-bodi-ya-shirika-la-posta.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy