MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAJIBIKENI KWA WANANCHI: DKT. NDUGULILE.
HomeJamii

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAJIBIKENI KWA WANANCHI: DKT. NDUGULILE.

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akiangalia bidhaa ya mafuta ya kupikia w...

WATU WAHAMASIKA KULIPA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI
MAKUSANYO YA KODI YA PANGO LA ARDHI YAONGEZEKA MARADUFU
WANACHAMA WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA TIBA ASILI TANZANIA (SHIVYATIATA) ILALA WAKUTANA KUJADILI MASUALA YA VYAMA VYAO DAR ES SALAAM



Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akiangalia bidhaa ya mafuta ya kupikia wakati alipotembelea Kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Ndimila kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alipofanya ziara ya siku mbili ya kuamsha ari ya wananchi kushiriki shughuli za maendeleo.


Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akitia saini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alipofanya ziara ya siku mbili ya kuamsha ari ya wananchi kufanya shughuli za maendeleo ili kuchangia azma ya kufikia uchumi wa kati na wa viwanda.

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Bonifasi Kasululu akiwasilisha Taarifa ya Mkoa kwa Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) kuhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazosimamiwa na Wizara yake alipofanya ziara ya siku mbili ya kuamsha ari ya wananchi kushiriki kazi za maendeleo ili kuchangia azma ya kufikia uchumi wa kati na wa viwanda.

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile(Mb) akiangalia bidhaa ya majani ya kutengeneza chai maarufu kwa jina la Mchaichai wakati alipotembelea Kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Victory kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alipofanya ziara ya siku mbili ya kuamsha ari ya wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Mwakilishi wa Ofisi ya Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) Bw. Yolla Ludege akitoa maelezo kuhusu taratibu za kuwakagua na kuwapa vibali wanawake wajasiliamali kutengenza bidhaa zao wakati wa ziara ya siku mbili ya Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) iliyolenga kuamsha ari ya wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda vidogo (SIDO) mkoa wa Rukwa Bw. Emmanuel Makere akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananwake wajasiliamali wa Mkoa wa Rukwa kuhusu majukumu ya Shirika katika kuwawezesha wanawake kiuchumi.


Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Rukwa Bi. Ndionusia Njuyuwi akisoma taarifa kuhusu utekelezaji wa uanzishwaji na uwezeshaji wa vikundi vya wanawake kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake(WDF).


Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akizungumza na wanawake wajasiliamali walioshiriki kikao cha siku moja Mkoa wa Rukwa wakati wa ziara yake iliyolenga kuamsha ari ya wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Baadhi ya wanawake wajasiliamali wa Mkoa wa Rukwa wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) wakati wa ziara yake kuamsha ari ya wananchi kufanya shughuli za maendeleo.



Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akitoa motisha kwa Vikundi ‘walelewa’ na kuwaunganisha kwa ‘Vikundi Mlezi’ ili waweze kusaidia katika kuboresha biashara zao wakati wa ziara yake ya siku mbili Mkoani Katavi kuamsha ari ya wananchi kufanya kazi na kuboresha huduma ya afya kwa wananchi.
(PICHA NA WAMJW)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAJIBIKENI KWA WANANCHI: DKT. NDUGULILE.
MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAJIBIKENI KWA WANANCHI: DKT. NDUGULILE.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyKZlh8X8t3Fa2EEWZ3Kk_evy0Y-7djUdu5wO1Gf64wfhg533Klva3fA_4RouzKp4NnuF9wHnXe3jUtf5-9E3tdH012mRG_RzvdCZA85KrEh6oZgxwzs2vbT_FVxg3LOEnxEIrwgnxMejx/s640/Pix+3.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyKZlh8X8t3Fa2EEWZ3Kk_evy0Y-7djUdu5wO1Gf64wfhg533Klva3fA_4RouzKp4NnuF9wHnXe3jUtf5-9E3tdH012mRG_RzvdCZA85KrEh6oZgxwzs2vbT_FVxg3LOEnxEIrwgnxMejx/s72-c/Pix+3.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/maafisa-maendeleo-ya-jamii-wajibikeni.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/maafisa-maendeleo-ya-jamii-wajibikeni.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy