HAFLA YA UZINDUZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI KOREA YA KUSINI
Picha ya pamoja baada ya Waziri Mahiga na Mheshimiwa Sung-nam kukata utepe na kuzindua rasmi majengo hayo. Kutoka kushoto ni Bw. Park Young min, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Afrika; Mhe. Silvester Bile, Kiongozi wa Mabalozi wa Afrika na Balozi wa Ivory Coast; Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mstaafu; Mhe. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania; Mhe. Lim Sung-nam, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Korea Kusini; Mhe. Matilda Masuka, Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini; na Mhe. Salim Alharthy, Kiongozi wa Mabalozi na Balozi wa Falme ya Oman nchini Korea ya Kusini.  

Picha ya pamoja baada ya Waziri Mahiga na Mheshimiwa Sung-nam kukata utepe na kuzindua rasmi majengo hayo. Kutoka kushoto ni Bw. Park Young min, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Afrika; Mhe. Silvester Bile, Kiongozi wa Mabalozi wa Afrika na Balozi wa Ivory Coast; Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mstaafu; Mhe. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania; Mhe. Lim Sung-nam, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Korea Kusini; Mhe. Matilda Masuka, Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini; na Mhe. Salim Alharthy, Kiongozi wa Mabalozi na Balozi wa Falme ya Oman nchini Korea ya Kusini.  

HomeJamii

HAFLA YA UZINDUZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI KOREA YA KUSINI

Picha ya pamoja baada ya Waziri Mahiga na Mheshimiwa Sung-nam kukata utepe na kuzindua rasmi majengo hayo. Kutoka kushoto ni Bw. Park Yo...

SPIKA AWAAHIDI CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA USHIRIKIANO
KUWAIT NATIONAL DAY
DIWANI KATA YA BUGURUNI MHE. ADAM AWAAGIZA VIONGOZI WA KUWAKAMATA NA KUWACHUKULIA HATUA WANANCHI WASIOFANYA USAFI.

Mheshimiwa Matilda Masuka Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea akiwakaribisha na kuwashukuru wageni waalikwa waliohudhuria kwa wingi kwenye ufunguzi rasmi wa Ofisi za Ubalozi tarehe 31 Januari 2018. Awali Tanzania ilikuwa inawakilishwa nchini humo kutokea Japan. Mheshimiwa Balozi Matilda Masuka aliteuliwa Desemba 3, 2016 na baadaye kuapishwa kuwa Balozi wa kwanza mwenye makazi yake Mji Mkuu wa Seoul, Jamhuri ya Korea.  



Mheshimiwa Lim Sung-nam, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea akizungumza kwa niaba ya Serikali yake wakati wa ufunguzi rasmi wa Ubalozi wa Tanzania nchini humo. Kwenye salamu zake za ufunguzi, Mheshimiwa Sung-nam amesifu jitihada za Serikali ya Tanzania kukuza uchumi na kusifu ushawishi na karisma ya Balozi Masuka ambayo imewezesha kuvutia Mabalozi na wanadiplomasia wengi Jijini Seoul kushuhudia ufunguzi wa ofisi za Ubalozi.

Mheshimiwa Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mstaafu akihutubia wageni waliofika kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania. Mheshimiwa Ki-moon, ambaye alitambulishwa kama rafiki mkuu wa Tanzania nchini humo, alipongeza Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kusimika bendera ya Tanzania nchini mwake baada ya miaka 25 ya uhusiano mzuri wa kidiplomasia na ushirikiano wa kiuchumi.

Mheshimiwa Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mstaafu akihutubia wageni waliofika kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania. Mheshimiwa Ki-moon, ambaye alitambulishwa kama rafiki mkuu wa Tanzania nchini humo, alipongeza Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kusimika bendera ya Tanzania nchini mwake baada ya miaka 25 ya uhusiano mzuri wa kidiplomasia na ushirikiano wa kiuchumi.



Picha ya pamoja na Mabalozi wanawake wanaoziwakilisha nchi mbalimbali kwenye Jamhuri ya Korea na picha ya Mabalozi kutoka nchi za kiafrika walioko nchini Korea Kusini. 

 Picha ya pamoja na Mabalozi wanawake wanaoziwakilisha nchi mbalimbali kwenye Jamhuri ya Korea na picha ya Mabalozi kutoka nchi za kiafrika walioko nchini Korea Kusini.


  


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HAFLA YA UZINDUZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI KOREA YA KUSINI
HAFLA YA UZINDUZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI KOREA YA KUSINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwkCCAk2nvnh7YWKrnESGYuZngTk6ojaTDuCxzpW765YvxWXzICHNq6qtFWaDGNbwM7RqksDhZ30Md3jG4m7-_MHFT1pmrxxhisN2BcgIP25uwNKwuhqtFuOBINBR7Es7Hl-CSD8vFqjo/s640/ROK+0.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwkCCAk2nvnh7YWKrnESGYuZngTk6ojaTDuCxzpW765YvxWXzICHNq6qtFWaDGNbwM7RqksDhZ30Md3jG4m7-_MHFT1pmrxxhisN2BcgIP25uwNKwuhqtFuOBINBR7Es7Hl-CSD8vFqjo/s72-c/ROK+0.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/hafla-ya-uzinduzi-wa-ubalozi-wa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/hafla-ya-uzinduzi-wa-ubalozi-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy