VIONGOZI WA UMMA WAKUMBUSHWA KUWASILISHA FOMU ZA TAMKO LA RASILIMALI ZAO
HomeJamii

VIONGOZI WA UMMA WAKUMBUSHWA KUWASILISHA FOMU ZA TAMKO LA RASILIMALI ZAO

Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habar...


Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu tarehe ya mwisho ya kupokea fomu za tamko la mali za viongozi leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu anayeshughulikia Maadili ya Viongozi wa Siasi Waziri Kipacha na Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Sekretarieti hiyo Filotheus Manula. Viongozi wa Umma wanatakiwa kuwa wamewasilisha fomu za tamko la mali zao kabla ya tarehe 31 Desemba 2017.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Filotheus Manula akisisitiza jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu adhabu anazoweza kupewa kiongozi ambaye atachelewesha kuwasilisha Tamko la maandishi la mali zake leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela. Viongozi wa Umma wanatakiwa kuwa wamewasilisha fomu za tamko la mali zao kabla ya tarehe 31 Disemba 2017.Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela (katikati) akipitia sheria ya Maadili ya Viongozi alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu tarehe ya mwisho ya kupokea fomu ya tamko la mali za viongozi leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu anayeshughulikia Maadili ya Viongozi wa Siasi Waziri Kipacha na Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Sekretarieti hiyo Filotheus Manula. Viongozi wa Umma wanatakiwa kuwa wamewasilisha fomu za tamko la mali zao kabla ya tarehe 31 Disemba 2017.Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu tarehe ya mwisho ya kupokea fomu za tamko la mali za viongozi leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu anayeshughulikia Maadili ya Viongozi wa Kisiasa, Waziri Kipacha, Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Sekretarieti hiyo Filotheus Manula na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Rodney Thadeus (kulia).Viongozi wa Umma wanatakiwa kuwa wamewasilisha fomu za tamko la mali zao kabla ya tarehe 31 Disemba 2017.
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano baina yao na Kamishna wa Maadili alipokua akitoa ufafanuzi kuhusu mwisho wa kupokea Matamko ya Mali za Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Umma wanatakiwa kuwa wamewasilisha fomu za tamko la mali zao kabla ya tarehe 31 Disemba 2017. (Picha na Frank Shija)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: VIONGOZI WA UMMA WAKUMBUSHWA KUWASILISHA FOMU ZA TAMKO LA RASILIMALI ZAO
VIONGOZI WA UMMA WAKUMBUSHWA KUWASILISHA FOMU ZA TAMKO LA RASILIMALI ZAO
http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2017/12/S1-1024x529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/12/viongozi-wa-umma-wakumbushwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/viongozi-wa-umma-wakumbushwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy