USIKU WA JUMA NA MKEWE FLORA BAADA YA KUFUNGA NDOA
HomeJamii

USIKU WA JUMA NA MKEWE FLORA BAADA YA KUFUNGA NDOA

 Bwana harusi, Juma katika pozi na mkwe Frola baada ya kufunga pingu za maisha na kufatiwa na tafrija katika ukumbi wa Makonde Kuringe...

MUUGUZI HOSPITAL YA WILAYA YA MBEYA ATIWA MBARONI KWA MADAI AMESABABISHA KIFO CHA MTOTO MCHANGA
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AREJEA DAR ES SALAAM
NHC YAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MIKOA YA MWANZA, GEITA NA MARA

 Bwana harusi, Juma katika pozi na mkwe Frola baada ya kufunga pingu za maisha na kufatiwa na tafrija katika ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Bwana harusi Juma (kulia) akiwa katika pozi na mpambe wake Jacob
Biharusi Flora (kushoto) akipozi na mpambe wake Mariam kabla ya kuingia ukumbini

Bwana haruzi Juma katika pozi akifurahia jambo wakati wa hafla fupi ya kupongezwa na mkewake Flora katika Ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam 
Bi harusi Mtarajiwa Flora akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist
Mpambe wa Bi harusi Mtarajiwa Mariam akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist





Bi harusi katika pozi

Bi harusi akiwa na mpambe wake katika pozi

Mnaniona katika pozi



Bi harusi Flora akilidaka ua baada ya kulirush juu
Bi harusi katika pozi kabla ya kuingia ukumbini




Mc na mtaalamu wa mapambo na chalula akiweka mambo sawa kabla ya kuingia maharusi na wageni waalikwa



Asante mume kunipokea UA pokea na wewe
Mama wa biharusi mtarajiwa (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya wana familia kabla ya kuingia ukumbini
Wazazi wa Bwana harusi wakiingia ndani ya ukumbi kwa madaha wakiiongoza familia yao

Wazazi wa Bwana harusi wakiipokea familia ya Bi harusi wakati walipokuwa wakiingi ndani ya ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam 
Familia ya Biharusi ikiingia ukumbini
Bwana na Bi harusi wakiingi ndani ya ukumbi


Bwana na Bi harusi wakiingi ndani ya ukumbi wakiwa na nyuso za  furaha mara baada ya kufunga ndoa
Mwenyekiti wa nguvu wa Shughuli hiyo ya hafla fupi ya kuwapongeza maharusi, Monica Hillary Doe akizungumza jambo  kwa waalikwa

Bwana harusi Juma na Mkewe Flora wakinyweshana Shampeni
Bwana harusi na Mkewe katikati wakigonganisha glas na wapambe
Bwana harusi na mkewe wakikata keki
Bwana harusi Juma akimlisha mkewake Flora kipande cha keki
Bi harusi Flora akiwakabidhi keki wazazi wa Bwana harusi
Bwana harusi Juma akiwakabidhi keki wazazi wa Bi harusi



Mama wa bwana harusi katika picha ya pamoja na marafiki zake


Wazzi wa Bwana harusi
Wazazi wa Biharusi







Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: USIKU WA JUMA NA MKEWE FLORA BAADA YA KUFUNGA NDOA
USIKU WA JUMA NA MKEWE FLORA BAADA YA KUFUNGA NDOA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPwWX10JetOGJpMc_9LUCBtvSQkeaLRN0tJ05Vx5aBtQmIKOqY7C18_fXvvUOFaF2MMYLMrumxrvexVoeBxkVA8zUfZYh0Oxf0gNtWswi6a324UQ-wGXXA2ro1E4rokJZ9qjFt2dFqULVu/s640/2.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPwWX10JetOGJpMc_9LUCBtvSQkeaLRN0tJ05Vx5aBtQmIKOqY7C18_fXvvUOFaF2MMYLMrumxrvexVoeBxkVA8zUfZYh0Oxf0gNtWswi6a324UQ-wGXXA2ro1E4rokJZ9qjFt2dFqULVu/s72-c/2.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/12/usiku-wa-juma-na-mkewe-flora-baada-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/usiku-wa-juma-na-mkewe-flora-baada-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy