SSRA YATANGAZWA KUWA MWAJIRI BORA SEKTA YA UMMA NCHINI
HomeJamii

SSRA YATANGAZWA KUWA MWAJIRI BORA SEKTA YA UMMA NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu Mh Jenista Mhagama akikabidhi kwa SSRA Tuzo ya Mwajiri Bora...

SSRA YAWAZINDUA WAJASIRIAMALI KUHUSU KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAANZISHA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UTOAJI HATI ZA MALIPO YA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA
DK. HAMISI KIGWANGALLA: “TUZIDI KUOMBEANA DUA TU, SINTOWAANGUSHA WATANZANIA”





Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu Mh Jenista Mhagama akikabidhi kwa SSRA Tuzo ya Mwajiri Bora kwa Mwaka 2017. Anayepokea ni Mkurugenzi wa SSRA Bi Lightness Mauki.



Watumishi wa SSRA wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kuibuka mshindi wa jumla kwa Taasisi za Umma katika hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya Wafanyakazi wa SSRA wakiwa kwenye meza ya SSRA wakati hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.


Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA Bi. Sarah Kibonde Msika akiwa kwenye Meza ya SSRA wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.



Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu Bw. Eric Shitindi akikabidhi kikombe kwa SSRA baada ya kuibuka mwajiri bora wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za Mwajiri bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa hivi karibuni na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) jijini Dar es Salaam. Anayepokea ni Mkurugenzi wa SSRA Bi. Lightness Mauki.   

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SSRA YATANGAZWA KUWA MWAJIRI BORA SEKTA YA UMMA NCHINI
SSRA YATANGAZWA KUWA MWAJIRI BORA SEKTA YA UMMA NCHINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhB5Sp51oVN8XxEvbMv8yExuTDOZzRJxjmusQ_Dq2j43qRy1YbDZTuf3tDMzmn_kErAyTXNzuy9a5oJ32BS6fa0lOABZ-DPl3pq8V-eu6CNywZhkkszy-_owml6nJwlo7OGBKGJdewbQfFK/s640/IMG_3959.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhB5Sp51oVN8XxEvbMv8yExuTDOZzRJxjmusQ_Dq2j43qRy1YbDZTuf3tDMzmn_kErAyTXNzuy9a5oJ32BS6fa0lOABZ-DPl3pq8V-eu6CNywZhkkszy-_owml6nJwlo7OGBKGJdewbQfFK/s72-c/IMG_3959.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/12/ssra-yatangazwa-kuwa-mwajiri-bora-sekta.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/ssra-yatangazwa-kuwa-mwajiri-bora-sekta.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy