MAHAFALI YA UALIMU NA KIDATO CHA NNE YA AL-HARAMAIN YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
HomeJamii

MAHAFALI YA UALIMU NA KIDATO CHA NNE YA AL-HARAMAIN YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM

Wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiwa katika gwaride la kuingia kwenye viwanja vya mahafai yao ya...

TRA YAONGEZA MUDA WA KULIPIA KODI YA MAJENGO MPAKA JULAI 30, 2017
WATUMISHI WA MAHAKAMA WAASWA KUSHUGHULIKIA VITENDO VYA RUSHWA
MKURUGENZI KAYOMBO AKUSANYA MILIONI 150 KWA MWEZI KATIKA SOKO LA NDIZI-MABIBO ILIHALI AWALI ZILIKUSANYWA MILIONI 10 KWA MWEZI



Wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiwa katika gwaride la kuingia kwenye viwanja vya mahafai yao ya 29 ya shule hiyo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Wahitimu wanawake wa Ualimu, Diploma Shule za Msingi, wakiwa katika gwaride, wakielekea kwenye viwanja vya mahafali.
Kikundi cha Kaswida cha Sekondari ya Al Haramain kikitumbuiza wakati wakiongoza gwaride la wahitimu wa kidato cha nne, wahatimu wa Ualimu Ngazi ya 6 na Ualimu Elimu ya Awali, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Wahitimu wa Ualimu, Elimu ya Awali, wakiwa katika mahafali yao hayo.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kushoto), akiongozwa na Mkuu wa Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (kulia), kuelekea katika viwanja vya mahafali.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Nuh Jabiri (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al Haramain, Suleiman Urassa (kulia), wakiuongoza msafara wa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salim (hayupo pichani) kuelekea kwenye viwanja vya mahafali hayo.
Mwanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyo, Omar Maazi akisoma Qur'an, wakati wa mahafali hayo.
Mwanafunzi wa kidato cha nne, Salum Ruta, akitoa tafsiri ya aya za Qur'an iliyosomwa.
Wahitimu wa kidato cha nne, Nahya Salum (kushoto) na Halima Nassor, wakighani utenzi katika mahafali hayo.
Wahitimu wa kidato cha nne wakiwa katika mahafali yao hayo.
Mhitimu wa kidato cha nne, Yassin Omar (kushoto), akisoma risala ya wahitimu. Kulia anayemsaidia ni mhitimu mwenzake, Ismail Omar.
Mhitimu wa Ualimu Ngazi ya 6, Maulid Hamad (kushoto), akighani utenzi wakati wa mahafali yao hayo.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir, akizungumza wakati akitoa taarifa ya shule hiyo kwa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (wa pili kulia) katika mahafali hayo.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (kushoto), akimweleza jambo mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum.
Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa, akitoa taarifa ya chuo hicho, kwa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (wa pili kushoto), katika mahafali hayo.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akitoa nasaha zake.
Mwanachuo wa Ualimu, Zainab Khamis, akighani utenzi wa kuwaaga wahitimu wa ualimu katika mahafali hayo.
Mwalimu wa Taaluma Sekondari, Rashid Kassim akitaja majina ya wahitimu kwa ajili ya kukabidhiwa vyeti vyao na mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (katikati) katika mahafali hayo.
Mhitimu Nahya Nassor, akikabidhiwa cheti chake na mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Asma Maharagande.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ruzna Ali Iddi.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ismail Mngoya.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Amina Mwinyimkuu
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Abubakar Ali.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ikram Alley.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Waziri Pambo.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Yakub Sheikh.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi,Mayasa Mussa.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi,Siza Mohamed.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiDogo Salum.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiKhairat Bakar.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiFirdaus Abubakar.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiBwashehe Yussuf.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiAdolf Baltazar.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za MsingiJoseph Mwebeya.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAHAFALI YA UALIMU NA KIDATO CHA NNE YA AL-HARAMAIN YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
MAHAFALI YA UALIMU NA KIDATO CHA NNE YA AL-HARAMAIN YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVxUuIOGOPJUuiQ5Pepl8nURL-UPAQrNroX5M2-y2V_Qw0RtZWhIpTiXav-g-b-La8E_4cXUHUVT-xhLrl5qRs6uhOoZ8KMld6s9TS_3iX9CR8HcLEUpRmpHOKD2jH5T3z9nHh1QPlqo4/s640/IMG_7916.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVxUuIOGOPJUuiQ5Pepl8nURL-UPAQrNroX5M2-y2V_Qw0RtZWhIpTiXav-g-b-La8E_4cXUHUVT-xhLrl5qRs6uhOoZ8KMld6s9TS_3iX9CR8HcLEUpRmpHOKD2jH5T3z9nHh1QPlqo4/s72-c/IMG_7916.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/mahafali-ya-ualimu-na-kidato-cha-nne-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/mahafali-ya-ualimu-na-kidato-cha-nne-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy