KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO.

 Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa...




 Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika kikao kilichofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. James Kibamba(kulia) akiwasilisha mapendekezo ya marekebisho ya Muundo wa Utumishi wa Idara ya Ustawi wa Jamii uliopitiwa na kujadiliwa na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Deodatha Makani (kushoto) akifafanua masuala ya Kiutawala kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Mendeleo ya Jamii, Jinisa, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi (kulia) akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike akisisitiza wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Idara Kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto kuhusu umuhimu wa uzingatiaji wa Kada zote za Ustawi wa Jamii katika rasimu ya muundo unaopendekezwa kwenye Baraza lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Bw. Atupile Mwambene akitoa ufafanuzi kuboresha rasimu ya marekebisho ya Muundo wa Utumishi wa Idara ya Ustawi wa Jamii kwa wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika  mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mwanasheria kutoka  Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.Vicness Mayao akifafanua masuala ya kisheria  kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii waliokutana mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto Bibi. Magreth Mussai akitoa maoni yake kuhusu maboresho ya Muundo wa Utumishi kwa Kada ya Ustawi wa Jamii kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkuu wa chuo cha Buhare Bw. Paschal Mahinyira akitoa hoja kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.


Baadhi ya wajumbe wawakilishi wa Watumishi wa Idara Kuu Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mijadala mbalimbali iliyojiri katika Baraza la Wafanyakazi wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.

(Picha na Kitengocha Mawasiliano WAMJW)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO.
KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgO-ar4HFt9jQ4RB8tH5IEdLUiAhGjq94_hFciXXRXT5HLznEkInSsaLPvHBPIpPWZ0qA6p0dg3GCbgp7uAVR5RHEQytJF4H9jF6WjVQiXKug6KRn3-GQ5fmvC2k10dqHa-ymUMOa2ZJ-l6/s640/Pix+1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgO-ar4HFt9jQ4RB8tH5IEdLUiAhGjq94_hFciXXRXT5HLznEkInSsaLPvHBPIpPWZ0qA6p0dg3GCbgp7uAVR5RHEQytJF4H9jF6WjVQiXKug6KRn3-GQ5fmvC2k10dqHa-ymUMOa2ZJ-l6/s72-c/Pix+1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/katibu-mkuu-sihaba-nkinga-afungua.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/katibu-mkuu-sihaba-nkinga-afungua.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy