HITILAFU YA MFUMO WA KUPOKELEA GESI KINYEREZI I, TATHIMINI YAONYESHA MATENGENEZO MAKUBWA YANAHITAJIKA.
Mhandisi Dkt. Tito Mwinuka, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, TANESCO
HomeJamii

HITILAFU YA MFUMO WA KUPOKELEA GESI KINYEREZI I, TATHIMINI YAONYESHA MATENGENEZO MAKUBWA YANAHITAJIKA.

Mhandisi Dkt. Tito Mwinuka, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, TANESCO NA K-VIS BLOG/Khalfan Said TATHMINI iliyofanyw...

WABUNGE WAPEWA SOMO KUHUSU FAIDA ZA UTALII NA UMUHIMU WA KUHIFADHI WANYAMA PORI
BALOZI SEIF AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA NA WASHIRIKA WAKE
DKT. SEMBOJA AMSIFU RAIS MAGUFULI KUHUSU RIPOTI YA MCHANGA

















NA

K-VIS BLOG/Khalfan Said


TATHMINI

iliyofanywa na Wahandisi wa Shirika la Umeme Tanzania, (TANESCO), kufuatia

mfumo wa kupokea gesi asili kwenye mitambo ya kufua umeme, Kinyerezi I jijini

Dar es Salaam kupata hitilafu, imebaini matengeenzo makubwa yanahitajika

kufanyika ili kuhakikisha mfumo unarudi katika ubora wake..


Kwa

mujibu wa taarifa ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Dkt. Tito

Mwinuka, iliyosambazwa kwa vyombo vya habari leo Novemba 1, 2017, imesema kufuatia

mfumo huo kupatwa na hitilafu majira ya mchana Oktoba 32, 2017, hatua ya kwanza

iliyochukuliwa na wataalamu wa TANESCO ni kuzima mitambo ili kuruhusu kazi ya

usafishaji kuondoa gesi hiyo kufanyika.


”Baada

ya usafishaji wa Mitambo kukamilika, matengenezo yalianza usiku wa kuamkia leo

Novemba 1, 2017, kwa kutumia wataalamu wa ndani wa Shirika pamoja na Mkandarasi

wa kampuni ya JACOBSEN ELEKTRO AS.” Taarifa hiyo ya TANESCO ilisema.





Taarifa

hiyo iliendelea kusema, “Kutokana na ukubwa wa matengeenzo na uangalifu wa hali

ya juu unaotakiwa katika kazi hii hususan suala la usalama wa mitambo pamoja na

watumishi wa Shirika waliopo katika eneo la mitambo, hatua za tahadhari

zimechukuliwa.” Taarifa hiyo ilisema.


Aidha

taarifa imefafanua kuwa kutokana na Mitambo hiyo kuzimwa ili kuruhusu kazi ya

marekebusho ya hitilafu hiyo kukamilika kwa wakati, kutakuwa na upungufu wa

umeme katika maeeno mbalimbali ya nchi.

“Uongozi wa Shirika

unawaomba radhi wateja wake na wananchi kwa ujumla kwa maeneo ambayo bado

yanakosa huduma ya umeme katika kipindi hiki cha matengenezo hayo na

tutaendelea kuwaarifu wananchi jinsi kazi ya matengenezo inavyoendelea hadi

kukamilika kwake.” Taarifa hiyo ilisema




Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HITILAFU YA MFUMO WA KUPOKELEA GESI KINYEREZI I, TATHIMINI YAONYESHA MATENGENEZO MAKUBWA YANAHITAJIKA.
HITILAFU YA MFUMO WA KUPOKELEA GESI KINYEREZI I, TATHIMINI YAONYESHA MATENGENEZO MAKUBWA YANAHITAJIKA.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFKVFS1nqnPoNunKFx-Rj2aDIqUrobZrRV1h6vy-PpYqq2gYdUFO8PXeC5mY1baYBq9a01FYLyZMc3HU2hHgB0YP9cU68Sat3h6gQpRPmaWXJSP7B7QCdfXYFyJGzhjYoGlC06HUXBZZWx/s640/5R5A1537.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFKVFS1nqnPoNunKFx-Rj2aDIqUrobZrRV1h6vy-PpYqq2gYdUFO8PXeC5mY1baYBq9a01FYLyZMc3HU2hHgB0YP9cU68Sat3h6gQpRPmaWXJSP7B7QCdfXYFyJGzhjYoGlC06HUXBZZWx/s72-c/5R5A1537.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/hitilafu-ya-mfumo-wa-kupokelea-gesi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/hitilafu-ya-mfumo-wa-kupokelea-gesi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy