NAIBU WAZIRI AWESO AKAGUA MIUNDOMBINU YA MAJI UBUNGO

Fundi wa DAWASCO akiendelea na kazi ya kurekebisha bomba lililopasuka eneo la Riverside, Ubungo. Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa...


Fundi wa DAWASCO akiendelea na kazi ya kurekebisha bomba lililopasuka eneo la Riverside, Ubungo.
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso akizungumza na msimamizi wa matengenezo wa DAWASCO Kanda ya Tabata, aliyekuwa akisimamia matengenezo katika eneo la Riverside, Ubungo kwenye moja ya miundombinu ya maji iliyoharibika.
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso akiwa katika eneo la Kibangu, Ubungo akikagua moja ya maeneo yaliyo na miundombinu mibovu ya maji.
……………………………………………………………
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji leo amefanya ukaguzi wa miundombinu ya maji eneo la Ubungo na kujionea miundombinu hiyo ambayo mingi imepasuka na kuvujisha maji mengi kutokana na uchakavu au kuhujumiwa miundombinu hiyo.
Katika maeneo aliyopita ameweza kuona upotevu mkubwa wa maji unaotokana na mabomba yaliyopasuka kuvuja, na kusababisha maji mengi kupotea baada ya kuwafikia wananchi kwa ajili ya matumizi.
Naibu Waziri Aweso alisema ipo haja ya kuchukua hatua na kuhakikisha miundombinu hiyo inafanyiwa ukarabati, ili kudhibiti tatizo la upotevu wa maji ambalo limekuwa changamoto kubwa jijini Dar es Salaam.
“Nitakaa na taasisi za DAWASA na DAWASCO tuweke mikakati ya kutatua changamoto hii, ili kuhakikisha kiwango cha upotevu wa maji kinapungua, kwa kuwa ni moja sababu ya wananchi kukosa maji ya uhakika, kwa kuwa mengi yanapotea baadala ya kuwafikia walengwa”, alisema Naibu Waziri.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU WAZIRI AWESO AKAGUA MIUNDOMBINU YA MAJI UBUNGO
NAIBU WAZIRI AWESO AKAGUA MIUNDOMBINU YA MAJI UBUNGO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGKjx76wvrpg7iVZJMltgUv4_78FMXOXFMEYdt0MCqlIRzK3upSTzwoTVNmSEilxF8evZrFn90e_pDPDul2BJ9dlkjljBRZIDmUHYIcjVJTc4NRV5vVdZXKp5kvGh4KmHX3nQjUCSg7-a2/s640/1-49.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGKjx76wvrpg7iVZJMltgUv4_78FMXOXFMEYdt0MCqlIRzK3upSTzwoTVNmSEilxF8evZrFn90e_pDPDul2BJ9dlkjljBRZIDmUHYIcjVJTc4NRV5vVdZXKp5kvGh4KmHX3nQjUCSg7-a2/s72-c/1-49.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/naibu-waziri-aweso-akagua-miundombinu.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/naibu-waziri-aweso-akagua-miundombinu.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy