MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BONDE LA NGORONGORO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia bonde kuu la Ngorongoro mara baada ya kuwasili tayari kwa Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai utakaofanyika kesho tarehe 3, oktoba 2017. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
HomeJamii

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BONDE LA NGORONGORO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Arusha leo tayari kwa uzinduzi wa ...

WASOMI WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUANDIKA VITABU
RAIS DKT. MAGUFULI AELEKEA MKOANI MANYARA KESHO LEO
WAZIRI KIGWANGALLA AAGIZA KILA KIJIJI KUTENGA ENEO LA UHIFADHI WA MISITU, ATOA SIKU 7 KWA TFS KUWASILISHA MPANGO WA UVUNAJI






Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Arusha leo tayari kwa uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai yatakayofanyika  Ngorongoro kesho Oktoba 3, 2017.

Makamu wa Rais alilakiwa na Waziri wa Utalii na Maliasili Profesa Jumanne Maghembe, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo na Viongozi wengine wa chama na Serikali.

Mheshimiwa Samia alipata maelezo ya hifadhi ya Ngorongoro pamoja na kujionea ukubwa wa Bonde Kuu la Ngorongoro.





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Mhifadhi Dkt. Maurus Msuha mara baada ya kutembelea bonde kuu la Ngorongoro mara baada ya kuwasili tayari kwa Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai utakaofanyika kesho Octoba 3, 2017.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Mhifadhi Dkt. Maurus Msuha mara baada ya kutembelea bonde kuu la Ngorongoro mara baada ya kuwasili tayari kwa Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai utakaofanyika kesho Oktoba 2017.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mabinti wa Kimasai waliojitokeza wakati wa mapokezi kwenye lango la kuingia kwenye hifadhi ya Ngorongoro ambapo anategemewa kuzindua Makumbusho Mpya ya Olduvai kesho Oktoba 3, 2017.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye hifadhi ya Ngorongoro ambapo anategemewa kuzindua Makumbusho Mpya ya Olduvai kesho Oktoba 3, 2017. Kulia (kwake) Ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Magembe na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya Hifadhi ya Ngorongoro kutoka kwa Msaidizi Mkuu wa Lango Bw. Mansuet Valentine mara baada ya kuwasili kwenye hifadhi ya Ngorongoro, Makamu wa Rais anategemewa kuzindua Makumbusho Mpya ya Olduvai kesho Oktoba 2017. 




  



Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BONDE LA NGORONGORO
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BONDE LA NGORONGORO
https://i.ytimg.com/vi/DzvwYEbAD6k/hqdefault.jpg
https://i.ytimg.com/vi/DzvwYEbAD6k/default.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/makamu-wa-rais-atembelea-bonde-la.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/makamu-wa-rais-atembelea-bonde-la.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy