WAZIRI MBARAWA ALITAKA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KUAANISHA GHARAMA ZA UJENZI WA MIRADI YAO
HomeJamii

WAZIRI MBARAWA ALITAKA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KUAANISHA GHARAMA ZA UJENZI WA MIRADI YAO

  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Semina ya siku moja ya wadau wa se...

MAMBO YA KUSTAAJIBISHA AMBAYO YANAPATIKANA TANZANIA
WAISLAMU WATAKIWA KUENDELEZA UCHA MUNGU
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI SWALA YA IDD EL FITRI KATIKA MSIKITI WA RIADHA MJINI MOSHI.



 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Semina ya siku moja ya wadau wa sekta ya ujenzi iliyohusu uboreshaji wa utendaji kazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), jijini Dar es Salaam jana.


  Mwenyekiti wa Baraza hilo Mayunga Nkunya (wa tatu kushoto) akimpongeza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa baada ya kutoa hutuba yake.
 Mwenyekiti wa Baraza hilo Mayunga Nkunya, akitoa hutuba katika semina hiyo.


 Wadau wa sekta ya ujenzi wakiwa kwenye semina hiyo wakimsikiliza Wziri Mbarawa.
 Wadau wa sekta ya ujenzi.
 Taswira ya ukumbi wa semina.
Wadau wa sekta ya ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Waziri Mbarawa.

Na Dotto Mwaibale

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameliagiza Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kuhakikisha linaanisha gharama za Ujenzi wa miradi mbalimbali badala ya kutegemea makadilio ya Wakandarasi wanaopetekeleza miradi. 

Alisema hayo Jijini Dar es salaam jana wakati akifungua Semina ya Wadau wa Ujenzi iliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Ujenzi ambapo amesema kutokan na utaratibu mbovu uliopo hivi sasa Watanzania wanatumia hata vifaa visivyokuwa na ubora wowote. 

"Sekta ya ujenzi ina mchango mkubwa katika kukuza pato la taifa na huwezesha utekelezaji wa miundombinu mbalimbali kuimarika na kuwa kichocheo  kikubwa kwa sekta nyingine za kiuchumi ikiwe kilimo,utalii nishati na viwanda" alisema Mbarawa. 

Mwenyekiti wa Baraza hilo Mayunga Nkunya amemhakikishia Waziri huyo kuwa changamoto zote zilizopo kwenye Sekta hiyo zitajadiliwa katika Semina hiyo na kupatiwa majibu ili kuepusha hasara na athari ambazo zinaweza kulikumba Taifa endapo hatua hazitachukuliwa. 

Alisema changamoto ambazo waziri amewapa amezitoa kwa baraza watazisimamia vizuri na kuhakikisha viwango vya ujenzi vinatekelezeka kwa lengo la kuimarisha  ubora wa majengo na miundombinu kwa ujumla. 

Aliongeza kuwa kutokana na kukosekana kwa Ushirikiano kutoka kwa wadau wa Ujenzi ndio sababu za changamoto hizo kujitokeza hivyo kupitia mkutano huo anaamini watafungua sura mpya ya maendeleo katika sekta hiyo na taifa kwa ujumla.


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MBARAWA ALITAKA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KUAANISHA GHARAMA ZA UJENZI WA MIRADI YAO
WAZIRI MBARAWA ALITAKA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KUAANISHA GHARAMA ZA UJENZI WA MIRADI YAO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrYEVSONMJBwyyObpTbpRPUAoMNMh3UtW4XrTn8ZRVnwklCLxK4cod3LX6B2WRb7TH4zjkFTPSpEbkkFqI5vMK1kzpvBrr6PxfRIdYi6vuP1Hzzrl8rUxOj_ZH2cAdq3R5zT8gR7KHHLwM/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrYEVSONMJBwyyObpTbpRPUAoMNMh3UtW4XrTn8ZRVnwklCLxK4cod3LX6B2WRb7TH4zjkFTPSpEbkkFqI5vMK1kzpvBrr6PxfRIdYi6vuP1Hzzrl8rUxOj_ZH2cAdq3R5zT8gR7KHHLwM/s72-c/1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/waziri-mbarawa-alitaka-baraza-la-taifa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/waziri-mbarawa-alitaka-baraza-la-taifa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy