TAARIFA KWA UMMA: OPERESHENI MAALUM YA KUSITISHA HUDUMA YA MAJI
HomeJamii

TAARIFA KWA UMMA: OPERESHENI MAALUM YA KUSITISHA HUDUMA YA MAJI

Shirika la MajiSafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), linawatangazia wakazi wa jiji la Dar es Salaam pamoja na Miji ya Kibaha na Bagam...

SOKO LA MBAO LIMESHUKA WILAYANI MUFINDI
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU, ANTHONY MAVUNDE AONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI WA UMMA KUHUSU UMUHIMU WA AFYA YA KINYWA NA MENO JANA
MBINU HIZI ZITAKUSAIDIA KUKABILIANA NA MVUA JIJINI DAR ES SALAAM

Shirika la MajiSafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), linawatangazia wakazi wa jiji la Dar es Salaam pamoja na Miji ya Kibaha na Bagamoyo mkoani Pwani kuwa kutakua na operesheni maalum ya kusitisha mara moja huduma ya MajiSafi kwa wateja wake wote ambao wanamalimbikizo ya madeni kama ifuatavyo;

• Wateja wenye madeni ya bili za Maji kuanzia mwezi mmoja na kuendelea

• Wateja waliofanya malipo NUSU (part payment) katika bili zao Maji za mwezi

• Pamoja na wateja wote wenye madeni ya muda mrefu na sugu

Operesheni hii imeanza rasmi hivyo Dawasco inawataka wateja wake wote kulipia bili zao za huduma ya Majisafi pamoja na madeni ya kipindi nyuma mapema ili kuepuka usumbufu wakusitishiwa huduma ya Majisafi katika makazi yao.

Kwa wateja ambao hawajapata bili zao za Maji za mwezi kupitia ujumbe mfupi wa simu (sms) wanaweza kuwasiliana na Dawasco huduma kwa wateja kwa namba 0800110064 (Bure) au wafike ofisi ya Dawasco karibu nao kwa msaada zaidi.

Kumbuka ukisitishiwa huduma gharama ya kurudisha ni Tsh 30,000/= lipia sasa kuepuka usumbufu huu

IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
DAWASCO-MAKAO MAKUU.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TAARIFA KWA UMMA: OPERESHENI MAALUM YA KUSITISHA HUDUMA YA MAJI
TAARIFA KWA UMMA: OPERESHENI MAALUM YA KUSITISHA HUDUMA YA MAJI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8J8GURWikqspEU1i0FGIAFzUy7mSr7lkeVhNl1PL3fxQGfAMpoqbUvOHRjwP3dGQICqwSQopxG9LXntqnB3rZwmu1B5D61sIwPxMhSlsuRIgnomQZ5A6C7REQyhS8m116Ybq1gE0Tybs/s320/Untitled1.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8J8GURWikqspEU1i0FGIAFzUy7mSr7lkeVhNl1PL3fxQGfAMpoqbUvOHRjwP3dGQICqwSQopxG9LXntqnB3rZwmu1B5D61sIwPxMhSlsuRIgnomQZ5A6C7REQyhS8m116Ybq1gE0Tybs/s72-c/Untitled1.png
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/taarifa-kwa-umma-operesheni-maalum-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/taarifa-kwa-umma-operesheni-maalum-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy