MAAFISA WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA UJERUMANI WATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA
Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za
Binadamu(AfCHPR)Sukhdev Chatbar (kulia) akiwaongoza wageni kutoka Wizara
ya ushirikiano wa  maendeleo ya Ujerumani kupitia taasisi zake GIZ na
AGA waliotembelea mahakama hiyo wamekua ni wadau wakubwa katika kusaidia
miradi mbalimbali ya mahakama hiyo.
HomeJamii

MAAFISA WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA UJERUMANI WATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA

Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR)Sukhdev Chatbar (kulia) akiwaongoza wageni kutoka Wiza...

MAGEREZA SACCOS YAFANYA MKUTANO MKUU WA TANO, 2017 MKOANI DODOMA
MTANDAO WA UTEPE MWEUPE (WHITE RIBBON) WAZUNGUMZA NA WAKAZI WA KIJIJI CHA MAORE JUUU YA VIFO VTOKANAVYO NA UZAZI KWA KINAMAMA NA WATOTO WACHANGA.
MAJALIWA MGENI RASMI MAHAFALI YA 33 YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA, MKEWE PIA AHITIMU LEO

 MAAFISA WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA UJERUMANI WATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA
Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za
Binadamu(AfCHPR)Sukhdev Chatbar (kulia) akiwaongoza wageni kutoka Wizara
ya ushirikiano wa  maendeleo ya Ujerumani kupitia taasisi zake GIZ na
AGA waliotembelea mahakama hiyo wamekua ni wadau wakubwa katika kusaidia
miradi mbalimbali ya mahakama hiyo.


Mkutubi
wa Maktaba ya mahakama  hiyo,Revina Moshi akizungumza na maafisa kutoka
shirika la maendeleo ya kimataifa ya Ujerumani(GIZ),kutoka kushoto ni
Afisa wa Wizara ya maendeleo ya Ujerumani anayehusika na Umoja wa
Afrika (AU) ofisi ya Addis Ababa, Ethiopia, Barbara Schaefer, Janina Hasse
kutoka  Berlin, Mkuu wa taasisi za GIZ na AGA, Hartmut Krebs


Mkuu wa taasisi za GIZ na AGA, Hartmut Krebs akiangalia sehemu ya machapisho kwenye maktaba ya AfCHPR.


Msajili wa mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu (AfCHPR), Dk Robert
Enno (kulia) akizungumza na ujumbe kutoka taasisi za Wizara ya maendeleo
ya Ujerumani waliotembelea mahakama hiyo.



Msajili wa mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu (AfCHPR), Dk Robert Enno akimkabidhi zawadi Afisa wa Wizara ya maendeleo ya Ujerumani anayehusika na Umoja wa Afrika(AU) ofisi ya Ethiopia, Barbara Schaefer.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAAFISA WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA UJERUMANI WATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA
MAAFISA WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA UJERUMANI WATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjbngmkWvcKPTf48e8b59snnLu9YwYyRKYCeoIqEGaZTK31Ed1K2nx-JDeMWvOLaOP7jiL5Byl_cmm2ibRJhOmabWhsYcuMDpE9oeuxS7SLDHLc93FeIe_xhK4yp6EIzPP9gFfJ43wX85DB/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjbngmkWvcKPTf48e8b59snnLu9YwYyRKYCeoIqEGaZTK31Ed1K2nx-JDeMWvOLaOP7jiL5Byl_cmm2ibRJhOmabWhsYcuMDpE9oeuxS7SLDHLc93FeIe_xhK4yp6EIzPP9gFfJ43wX85DB/s72-c/1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/maafisa-wa-wizara-ya-ushirikiano-wa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/maafisa-wa-wizara-ya-ushirikiano-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy