RC AMOS MAKALLA ATOA TAARIFA YA AWALI KUUNGUA SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA
HomeJamii

RC AMOS MAKALLA ATOA TAARIFA YA AWALI KUUNGUA SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA

Natoa pole kwa wote walioathirika na janga la moto kwa wafanyabiashara soko la Sido. SOKO la sido lilianza kuungua saa 21.32 Hrs jana usiku ...

KATIBU MKUU DKT. MARIA SASABO AFUNGA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) JIJINI DAR ES SALAAM
BALOZI WA CUBA NCHINI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
RAIS DKT MAGUFULI MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA


Natoa pole kwa wote walioathirika na janga la moto kwa wafanyabiashara soko la Sido. SOKO la sido lilianza kuungua saa 21.32 Hrs jana usiku na kuteketeza mali za wafanyabiashara wa soko la sido.

Pamoja na kutoa pole niwashukuru wananchi, vyombo vya ulinzi kwa ushirikiano na kazi kubwa YA kudhibiti moto usiendelee kuleta madhara makubwa zaidi.

Serikali kupitia Mkuu wa wilaya ya Mbeya imeunda kamati ya kufanya tathmini ya kujua hasara na chanzo cha Moto huo .

Tunaomba wananchi waendelee kuwa watulivu na watoe ushirikiano kwa kamati hiyo ili tuweze kujua chanzo cha moto na hasara iliyopatikana
Aidha vyombo vya ulinzi vinaendelea kuchunguza kujua kama moto huo utakuwa umesababishwa na mtu/ watu uchunguzi huo bado unaendelea
Nirudie tena kuwapa pole wote walioathirika na janga na mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki Kigumu

Amos G.Makalla
Mkuu wa mkoa wa Mbeya
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RC AMOS MAKALLA ATOA TAARIFA YA AWALI KUUNGUA SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA
RC AMOS MAKALLA ATOA TAARIFA YA AWALI KUUNGUA SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9BGhBZhr5ts30xL9zn4Rj0KUSvJfAoNm6P1l59mAZtUQusAhFtqQVv68Ji2cIBH11IFxC46SVoDD6PyPsxWl65nK5lO2FTk3wpQUrbxe9OlkNyrgEEUSJh3EbMUdG9G_qREZoJ8j1nD0/s640/gg.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9BGhBZhr5ts30xL9zn4Rj0KUSvJfAoNm6P1l59mAZtUQusAhFtqQVv68Ji2cIBH11IFxC46SVoDD6PyPsxWl65nK5lO2FTk3wpQUrbxe9OlkNyrgEEUSJh3EbMUdG9G_qREZoJ8j1nD0/s72-c/gg.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/08/rc-amos-makalla-atoa-taarifa-ya-awali.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/rc-amos-makalla-atoa-taarifa-ya-awali.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy